Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Habari wakuu wangu,
Najua humu kuna wataalam na wenye uzoefu mbali mbali na changamoto za afya. Naomba msaada juu ya shida hapa chini.
Mimi ni ME umri wa arround 33 nani mtumishi wa umma.
Changamoto yangu ni kila ninapopata taarifa mpya au safari basi naumwa kabisa.
Mfano mtu anambie kesho tutasafiri kwenda mkoa, basi nikilala lazima usiku usingizi utakata, ntaanza kuiwazia hiyo safari na asbh nikiamka kichwa kitauma, ntatapika na nakua mgonjwa kabisa nikiweka kitu mdomoni natapika.
Nikipata taarifa kuwa kesho kuna wakaguzi au ratiba mpya nje ya utaratibu wangu wa kawaida hiyo hali inanitokea.
Yani mf nikiwa na wife na kesho yake awe anasafiri basi kuna hali najisikia naumwa kabisa.
Kifupi mazingira mapya, ratiba mpya kwangu ni changamoto hivyo baadhi ya safari huwa nazikataa mpaka watu wananishangaa.
Nikiwa kwenye ratiba zangu za kawaida am very strong ila ilukinibadilishia tu naumwa.
Naombeni ushauri tiba gani nitumie au nani ana utaalam na changamoto kama hii?
Nawasilisha
Najua humu kuna wataalam na wenye uzoefu mbali mbali na changamoto za afya. Naomba msaada juu ya shida hapa chini.
Mimi ni ME umri wa arround 33 nani mtumishi wa umma.
Changamoto yangu ni kila ninapopata taarifa mpya au safari basi naumwa kabisa.
Mfano mtu anambie kesho tutasafiri kwenda mkoa, basi nikilala lazima usiku usingizi utakata, ntaanza kuiwazia hiyo safari na asbh nikiamka kichwa kitauma, ntatapika na nakua mgonjwa kabisa nikiweka kitu mdomoni natapika.
Nikipata taarifa kuwa kesho kuna wakaguzi au ratiba mpya nje ya utaratibu wangu wa kawaida hiyo hali inanitokea.
Yani mf nikiwa na wife na kesho yake awe anasafiri basi kuna hali najisikia naumwa kabisa.
Kifupi mazingira mapya, ratiba mpya kwangu ni changamoto hivyo baadhi ya safari huwa nazikataa mpaka watu wananishangaa.
Nikiwa kwenye ratiba zangu za kawaida am very strong ila ilukinibadilishia tu naumwa.
Naombeni ushauri tiba gani nitumie au nani ana utaalam na changamoto kama hii?
Nawasilisha