Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ana kazi ya kukaa on-line! Ahahahahaha!!!Wewe kila saa uko online. ...ni kazi ndio hunaga ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kazi ya kukaa on-line! Ahahahahaha!!!Wewe kila saa uko online. ...ni kazi ndio hunaga ama
Duh! Kumbe ni kwa wote. Huku Umasaini ndani-ndani huku huu mtandao ndo tegemeo letu lakini Dah! Leo unazingua kwelkweli. Inakuletea mara External Application down, mara Request not complete (STOP)......... Oiyeyai, nimeshindwa kununua Luku kabisa nitalala giza leo.jinga sana hawa watu leo nimeshindwa kununua vifurushi kabisa
Hey! Hii mitandao kama yote kumbe hawana nia njema kwetu sisi wa "Nirushie kitu kidogo aisee nami niweze sherehekea....." 😱Sio airtel money tuuu....ata Tigo pesa na halopesa nao wanasumbua
Pole sana!!!Duh! Kumbe ni kwa wote. Huku Umasaini ndani-ndani huku huu mtandao ndo tegemeo letu lakini Dah! Leo unazingua kwelkweli. Inakuletea mara External Application down, mara Request not complete (STOP)......... Oiyeyai, nimeshindwa kununua Luku kabisa nitalala giza leo.
Wanakera sana bora hata wangetoa taarifa ili tujiandae kukosa huduma kwa muda.Na walivyo wapuuzi hata hawatoi taarifa rasmi.🤨
Ashee papa lai.Pole sana!!!
Hongera sijawahi kukosa online aisee😂😂 nafanya kazi mtandao. So usishtuke kuniona kila dk online
Hata sasa nimo. 😂🏃♀️Hongera sijawahi kukosa online aisee
Ahsante nashukuru ,naomba kuunga mkono hoja😂Hata sasa nimo. 😂🏃♀️
wenyewe wanasema hami airtel. ila hao jamaa ni chenga sanaHabari wakuu!
Kwa wale wanaotumia Airtel, hili tatizo la Airtel Money na kwenu lipo???
Sio kwenye app tu...hata kwa menu ya kawaida kuna error 😬😬
View attachment 2594171