Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Duniani kote ajira ni changamoto, lakini namna ya kulishughulikia ndiyo tatizo zaidi hapa kwetu Tanzania.
Kwanza Serikali imekuwa chanzo kikubwa cha tatizo hili na kupelekea kutengeneza mpaka propaganda ili ionekane imeajiri.
Suala la Serikali kudai imeongeza kiasi cha ajira kinakifikirisha sana.
Sekta binafsi in Tanzania imekufa na chanzo ni Sera mbovu za serikali awamu ya tano.
Vijana wasomi wamekata upepo mpaka wanatamani kujiua ama kufanya chochote ilimradi apate mkate.
Duh ama kweli akunyimae kazi amekuvua utu wako.
Vijana endeleeni kubet na ligi zinaelekea ukingoni sijui mtaishije.
Kwanza Serikali imekuwa chanzo kikubwa cha tatizo hili na kupelekea kutengeneza mpaka propaganda ili ionekane imeajiri.
Suala la Serikali kudai imeongeza kiasi cha ajira kinakifikirisha sana.
Sekta binafsi in Tanzania imekufa na chanzo ni Sera mbovu za serikali awamu ya tano.
Vijana wasomi wamekata upepo mpaka wanatamani kujiua ama kufanya chochote ilimradi apate mkate.
Duh ama kweli akunyimae kazi amekuvua utu wako.
Vijana endeleeni kubet na ligi zinaelekea ukingoni sijui mtaishije.