Tatizo la ajira ni bomu linalosubiri kulipuka

Wakiamua wanaweza,maana kama 100,Inakatwa kwa uzalendo na watu ndio sisi hata yenyeye ione haya yanayoendelea South Africa.
Haiwezi kuona sababu haina watu wenye maono hayo! Kama waziri wa fedha anazunguka na neno moja kwenye Solidarity tax bila kuongea point ya maana hamna kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…