kuna kipindi ghafla tu nikatokewa na chunusi kuna dada insta anatoza elf 5 akuelekeze za kufanya whatsapp ana njia kama 2 ila nilifanya hii niliona nyepesi kipande cha limao unakamua unaweka na tumaji tudogo tu unaanza paka na pamba bada ya dk 10 unaosha uso unafanya hivyo mpk chunusi zinaisha na kweli ziliishaHata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Anha basi ni vizuri,mleta mada chukua hii kwa matokeo ya haraka.kuna kipindi ghafla tu nikatokewa na chunusi kuna dada insta anatoza elf 5 akuelekeze za kufanya whatsapp ana njia kama 2 ila nilifanya hii niliona nyepesi kipande cha limao unakamua unaweka na tumaji tudogo tu unaanza paka na pamba bada ya dk 10 unaosha uso unafanya hivyo mpk chunusi zinaisha na kweli ziliisha
Hii thread inatakiwa niitunze sehemu. Athante kwa elimuHata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Asante kwa kushukuru pia.Hii thread inatakiwa niitunze sehemu. Athante kwa elimu
Manjano awe extra care,Hata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
yes inasaidia sana hiyo mpenziAnha basi ni vizuri,mleta mada chukua hii kwa matokeo ya haraka.
Ukipata usingizi wa kutosha ndio chunusi zinasepa zote?Hata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Utalaaniwa..!Huyo anatakiwa apakwe bao la 7 katika uso wake,chakufanya wewe mkiwa faragha jitahidi kupiga mpaka bao sita alafu la saba unamwagia usoni.
Shut up!!!Utalaaniwa..!
Hata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Mh! Nawe, umekuwa daktari!Hata kama ni wewe usione aibu....
Jaribu kati ya hivi:
-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango
Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.
Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Mmh si kwa ushauri huoTumia detol na dodoki,halafu baada ya kujisugua usipakae kitu chochote.Lazima ifanye kazi.
HeheMh! Nawe, umekuwa daktari!
Ajitahidi kubeba mimba,akijifungua tuu tatizo litaishaHabari za Jumapili wakuu,
Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani amgepata kitu cha kumsaidia msichana wangu anauso wa mafuta kiasi ameshajaribu kutumia mpaka zile bidhaa za forever living ila zilitulia zikarudi.
Ushauri wenu Tafadhali.