Tatizo la chunusi

Tatizo la chunusi

Nyanda21

Senior Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
134
Reaction score
60
Habari za Jumapili wakuu,

Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani amgepata kitu cha kumsaidia msichana wangu anauso wa mafuta kiasi ameshajaribu kutumia mpaka zile bidhaa za forever living ila zilitulia zikarudi.

Ushauri wenu Tafadhali.
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
kuna kipindi ghafla tu nikatokewa na chunusi kuna dada insta anatoza elf 5 akuelekeze za kufanya whatsapp ana njia kama 2 ila nilifanya hii niliona nyepesi kipande cha limao unakamua unaweka na tumaji tudogo tu unaanza paka na pamba bada ya dk 10 unaosha uso unafanya hivyo mpk chunusi zinaisha na kweli ziliisha
 
kuna kipindi ghafla tu nikatokewa na chunusi kuna dada insta anatoza elf 5 akuelekeze za kufanya whatsapp ana njia kama 2 ila nilifanya hii niliona nyepesi kipande cha limao unakamua unaweka na tumaji tudogo tu unaanza paka na pamba bada ya dk 10 unaosha uso unafanya hivyo mpk chunusi zinaisha na kweli ziliisha
Anha basi ni vizuri,mleta mada chukua hii kwa matokeo ya haraka.
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Hii thread inatakiwa niitunze sehemu. Athante kwa elimu
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Manjano awe extra care,
inakataa watu wengine.
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Ukipata usingizi wa kutosha ndio chunusi zinasepa zote?
 
Tumia detol na dodoki,halafu baada ya kujisugua usipakae kitu chochote.Lazima ifanye kazi.
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.



Scorpion gan mwanamke bana....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Hata kama ni wewe usione aibu....

Jaribu kati ya hivi:

-asali
-limau
-manjano
-mdalasini mix na asali
-yai mix na limau
-aloevera maji maji yake
-mvuke wa maji ya moto
-matango

Halafu awe anasafisha uso mara kwa mara na maji safi.

Pia anywe maji mengi na usingizi wa kutosha.
Mh! Nawe, umekuwa daktari!
 
Habari za Jumapili wakuu,

Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani amgepata kitu cha kumsaidia msichana wangu anauso wa mafuta kiasi ameshajaribu kutumia mpaka zile bidhaa za forever living ila zilitulia zikarudi.

Ushauri wenu Tafadhali.
Ajitahidi kubeba mimba,akijifungua tuu tatizo litaisha
 
Back
Top Bottom