Nimenunua kwa mtu ila nimeanza kusikia kamlio tofauti kwenye injini kama inakuwa inakwaruza pale unapoanza kuondoka. Je shida ni nini?
Siyo kwenye injini huo mlio unatokea kwenye tairi la nyuma kushoto kuna bearing ya ndani ya tairi ni ndogo ina kutu inazunguka kwa shida wala injini haina shida.Nimenunua kwa mtu ila nimeanza kusikia kamlio tofauti kwenye injini kama inakuwa inakwaruza pale unapoanza kuondoka. Je shida ni nini?
Huyo fundi anataka kukutia hasara kuna shaft ndani ya gia box imefyatuka au bering imesagika ....na yangu ilikuwa inakwaruza sana na kungu inapungua alipoisambaza kumbe ni beringi ya kushikilia kwenye shaft ya jino no 3 ilikuwa imefyatuka ..ikatoka katika njia yake .....usiogope mkuu peleka kwa fundi mzuri mwambie aifungue yote ....mfukoni uwe na kama 50 hivi bajeti inakaa poa
sent from toyota Allex
Inatoa moshi?Nipo nje ya mada kidogo, kuna boxer inachafuka sana oil kuanzia usawa wa air cleaner kushuka chini hua ni nini shida
Haitoi moshi mkuu kila kitu kipo sawa shida kuchafuka oil tu hasa pale umepiga ruti ndefu au fupi ambazo hujaiosha mda mrefuInatoa moshi?
Kungekuwa na moshi ningeweza kusema ni ring zimeisha au block imetanuka. Ila kama moshi hakuna labda inawezekana mzunguko wa oil sio mzuri kuna sehemu oil inapita kwa shida kutokana na baadhi ya matundu yameziba kutokana na uchafu hivyo oil nyingne inapanda juu na kutokea kwenye aircleaner.Haitoi moshi mkuu kila kitu kipo sawa shida kuchafuka oil tu hasa pale umepiga ruti ndefu au fupi ambazo hujaiosha mda mrefu
Nipo nje ya mada kidogo, kuna boxer inachafuka sana oil kuanzia usawa wa air cleaner kushuka chini hua ni nini shida
Ohoo shukran kwahiyo engine nzima itabidi ifunguliweKungekuwa na moshi ningeweza kusema ni ring zimeisha au block imetanuka. Ila kama moshi hakuna labda inawezekana mzunguko wa oil sio mzuri kuna sehemu oil inapita kwa shida kutokana na baadhi ya matundu yameziba kutokana na uchafu hivyo oil nyingne inapanda juu na kutokea kwenye aircleaner.
Solution: mtafute fundi mzuri anayoijua boxer akuchekie ikiwezekana aisafishe. Imeshawahi nitokea na nikasolve kwa kuisafisha engine na tatizo halijawahi kurudia for two years now
Huwa inamwagwa yote mkuu pikipiki inalazwa pande zote kuhakikisha inachuruzika yoteOil kufika hadi kwenye air cleaner inasababishwa na oil kuwa nyingi ndani ya enginekuliko kawaida,hii hutokea wakati unamwaga oil kuna iliyobaki then ukaweka na mpya ujazo ukawa mkubwa kuliko inavyotakiwa.
Chanzo cha uchafu inakua ni nini mkuuKungekuwa na moshi ningeweza kusema ni ring zimeisha au block imetanuka. Ila kama moshi hakuna labda inawezekana mzunguko wa oil sio mzuri kuna sehemu oil inapita kwa shida kutokana na baadhi ya matundu yameziba kutokana na uchafu hivyo oil nyingne inapanda juu na kutokea kwenye aircleaner.
Solution: mtafute fundi mzuri anayoijua boxer akuchekie ikiwezekana aisafishe. Imeshawahi nitokea na nikasolve kwa kuisafisha engine na tatizo halijawahi kurudia for two years now
1. Aina ya oil unayowekaChanzo cha uchafu inakua ni nini mkuu
Nadhani kutobadilisha oil filter inawezakua sababu nitaibadilisha nione, kwa aina ya oil natumia Total quartz api SL1. Aina ya oil unayoweka
2. Kutokubadili oil filter mara kwa mara. Yenyewe tu ikichoka inazalisha uchafu
Oil Namba ipi? Boxer inatumia oil nyepesi sababu matundu yake ni madogo ukilinganisha na engine za pikipiki za kichina, ukiweka oil nzito lazima isumbue kwenye kupita kwenye matundu hayo, kwa sababu matundu yanayoruhusu oil kusambaa kwenye engine ni madogo sana tofauti na sanlg, fekon, haojue an the like. Recommended oil for boxer bm 150 ni 20w50, we unatumia ipi?Nadhani kutobadilisha oil filter inawezakua sababu nitaibadilisha nione, kwa aina ya oil natumia Total quartz api SL
Natumia hiyo hiyo 20W50, naona watu wengi wanaweka hizo oil nyingine tofaut na ambazo boxer wamependekezaOil Namba ipi? Boxer inatumia oil nyepesi sababu matundu yake ni madogo ukilinganisha na engine za pikipiki za kichina, ukiweka oil nzito lazima isumbue kwenye kupita kwenye matundu hayo, kwa sababu matundu yanayoruhusu oil kusambaa kwenye engine ni madogo sana tofauti na sanlg, fekon, haojue an the like. Recommended oil for boxer bm 150 ni 20w50, we unatumia ipi?
Kuweka oil tofauti na iliyopendekezwa ni chanzo kikubwa sana cha kuua engine ila watu wengi huwa wanachukulia poa tu anaweka yoyote tu.Natumia hiyo hiyo 20W50, naona watu wengi wanaweka hizo oil nyingine tofaut na ambazo boxer wamependekeza