Tatizo la Feisal liko wapi?

Tatizo la Feisal liko wapi?

Unajificha sababu hujui ni taratibu zipi nje ya zile bosi wako Hersi alizosema. Unanirudishia interview ambayo nimeitumia kukuuliza maswali.

INSHORT HUJUI NI NINI FEI ANATAKIWA KUFANYA NJE YA ALIYOELEKEZWA NA HERSI.
Nijifiche vip wakati issues ipo wazi TFF na tushashinda mara tatu.

Hersi yy kwenye swala la Fei sio msemaji bali hata yy anapokea ripoti kutoka kwa Mwanasheria wa Yanga anaye isimamia kesi.

Na hata anacho kiongea Hersi wa kwanza kukiongea alikuwa ni Mwanasheria wa Yanga, alivyo fanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kesi ya Fei ndicho hata mimi ninacho kijua.

Au wewe mwanasheria wa KUJIPACHIKA una unacho kijua zaidi ya wanasheria waliosimamia kesi ya Fei?
 
Kwa hiyo mkataba wake hauna exit room ya mchezaji kuondoka mwenyewe bila kutakwa na timu? Yaani mchezaji akitaka kuondoka option ni tatu tu, Kumalizia mkataba, kuboreshewa maslahi au timu inayomtaka ije? Ndivyo mkataba unavyotaka?
Exit ipo ila still kuna taratibu zake. Halafu kuboreshewa mkataba sio lazima, club inaweza kukataa wakastick na mkataba walio ingia na ww mpaka mwisho na ukaondoka as free slagent hata ulaya ipo sana.

Hizo option Yanga katoa sababu mpaka sasa kisheria mchezaji yupo chini ya Yanga.

Mfano mdogo Mason Mount anataka 300K,Chelsea wamemwambia hawana, ila still Chelsea ndiye mwenye kauli na Mount sababu ni mkataba na still Chelsea vilevile anaweza akaamua amuuze au amwache atumikie mkataba wake mapaka utakapo isha aondoke kaa free agent.
 
Nijifiche vip wakati issues ipo wazi TFF na tushashinda mara tatu.

Hersi yy kwenye swala la Fei sio msemaji bali hata yy anapokea ripoti kutoka kwa Mwanasheria wa Yanga anaye isimamia kesi.

Na hata anacho kiongea Hersi wa kwanza kukiongea alikuwa ni Mwanasheria wa Yanga, alivyo fanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kesi ya Fei ndicho hata mimi ninacho kijua.

Au wewe mwanasheria wa KUJIPACHIKA una unacho kijua zaidi ya wanasheria waliosimamia kesi ya Fei?
Kwani unafahamu hata kesi ya Fei TFF ilikuwa juu ya nn? Na kwanini Fei alirudi mara mbili?

Ni hivi,

1.Yanga ndo walikimbilia TFF kupata ufafanuzi iwapo Fei amevunja mkataba kihalali au la, TFF wakasema hajavunja kihalali huyu ni mchezaji wenu.

2. Fei akarudi TFF akiomba apewe taratibu za kuvunja mkataba akaambiwa aende Yanga wakae mezani.
Hapa according to Fei anasema walikaa masaa 6 wakapewa option 3 ambazo hazihusiani na Fei kuvunja mkaba bali zinambana arudi kambini.

3. Fei akakata rufaa TFF, akapewa jibu lile lile kuwa inabidi urudi Yanga mmalizane au nenda CAS.

Fei kaona aende CAS. Kule anatafuta ushindi mmoja tu, uhuru wake. Iwe kwa kuambiwa alipe faini Yanga au vinginevyo, na ikishindikana basi kuliko kurudi Yanga atakaa mtaani.

Sasa nikuulize. Yanga inataka nini kwa Fei mpaka ilazimishe utaratibu ambao hauruhusu mchezaji kuondoka?
 
Exit ipo ila still kuna taratibu zake. Halafu kuboreshewa mkataba sio lazima, club inaweza kukataa wakastick na mkataba walio ingia na ww mpaka mwisho na ukaondoka as free slagent hata ulaya ipo sana.

Hizo option Yanga katoa sababu mpaka sasa kisheria mchezaji yupo chini ya Yanga.

Mfano mdogo Mason Mount anataka 300K,Chelsea wamemwambia hawana, ila still Chelsea ndiye mwenye kauli na Mount sababu ni mkataba na still Chelsea vilevile anaweza akaamua amuuze au amwache atumikie mkataba wake mapaka utakapo isha aondoke kaa free agent.
Unapingana na bosi wako? Bosi wako alikuwa tayari kuboresha maslahi ilimradi Fei arudi. According to yeye Fei ana nidhamu sana ila kuna mtu tu anamdanganya na wapo tayari kumpokea, ni kijana wao wanampenda.
 
Kwani unafahamu hata kesi ya Fei TFF ilikuwa juu ya nn? Na kwanini Fei alirudi mara mbili?

Ni hivi,

1.Yanga ndo walikimbilia TFF kupata ufafanuzi iwapo Fei amevunja mkataba kihalali au la, TFF wakasema hajavunja kihalali huyu ni mchezaji wenu.

2. Fei akarudi TFF akiomba apewe taratibu za kuvunja mkataba akaambiwa aende Yanga wakae mezani.
Hapa according to Fei anasema walikaa masaa 6 wakapewa option 3 ambazo hazihusiani na Fei kuvunja mkaba bali zinambana arudi kambini.

3. Fei akakata rufaa TFF, akapewa jibu lile lile kuwa inabidi urudi Yanga mmalizane au nenda CAS.

Fei kaona aende CAS. Kule anatafuta ushindi mmoja tu, uhuru wake. Iwe kwa kuambiwa alipe faini Yanga au vinginevyo, na ikishindikana basi kuliko kurudi Yanga atakaa mtaani.

Sasa nikuulize. Yanga inataka nini kwa Fei mpaka ilazimishe utaratibu ambao hauruhusu mchezaji kuondoka?
Arudi atumikie mkataba wake au kama anataka kuvunjwa arudi mezani waongee.

Sasa mkataba umesaini wewe na Yanga,sasa TFF anahusika vipi?
 
Arudi atumikie mkataba wake au kama anataka kuvunjwa arudi mezani waongee.

Sasa mkataba umesaini wewe na Yanga,sasa TFF anahusika vipi?
Unaposema arudi mezani unamaanisha nini?

Hayo masaa waliyokaa na kupewa masharti matatu maana yake ni nini? Au kurudi tafsiri yake ni kuichezea Yanga?
 
Unapingana na bosi wako? Bosi wako alikuwa tayari kuboresha maslahi ilimradi Fei arudi.

Simon ndiye aliyekuwa wa kwanza kukiongea nje baada ya Yanga kushinda kesi na Hersi akaiongea juzi kwenye intvw ya Clouds baada ya Yanga kushinda kwa mara ya tatu.
 
Unapingana na bosi wako? Bosi wako alikuwa tayari kuboresha maslahi ilimradi Fei arudi. According to yeye Fei ana nidhamu sana ila kuna mtu tu anamdanganya na wapo tayari kumpokea, ni kijana wao wanampenda.
Napingana vp na boss wangu vp,wamemwambia aje mezani kuja mezani,mezani kuna matatu anaweza kuongezewa, anaweza akaambiwa abaki kwa hela hiyo hiyo mpaka mwisho wa mkataba aoendoke free na anaweza kuvunja mkataba kama makubaliano ya kifikiwa. Sababu sasa mwenye control kwenye mkataba ni Yanga.
 
anaweza kuvunja mkataba kama makubaliano ya kifikiwa.
Sasa kwanini hili limeshindikana walipokaa mezani kwa masaa sita? Na bosi wako hakuweka kwenye list kuwa hili linawezekana. Aliweka mambo 3 tu ambayo yote yanamwelekeza Fei kurudi kambini.
 
Baada ya Feisal Salum kuzungumza leo kupitia clouds fm mambo mbali mbali aliyopitia yanga na maisha yake ya soka kwa ujumla ila bado kuna vitu vinafikirisha sana kwa yale aliyoyasema dhidi ya yanga tupate tafakuri kidogo ya mambo hayo:‐

Feisal alikuwa mchezaji wa Yanga toka kipindi wanapitisha bakuli iweje ghafla tu kijana alazimishe kuvunja mkataba tena kipindi cha neema.

Mudathir Yahya na sureboy waliomba kuondoka AZAM fc kwenda Yanga na wakaruhusiwa kuondoka bila migogoro tatizo la Feisal liko wapi.

Manara alipokuwa Simba ilivuja clip analia akidai anateswa na aliyekuwa CEO wa Simba mwanadada Barbra Gonzalez na malipo kiduchu ya mshahara kama house girl manara akatoka Simba akaenda Yanga kwasababu ya maslahi yake binafsi na ugomvi binafsi sasa feisal akisema ana tatizo na engineer na sio yanga tatizo liko wapi.

Feisal anadai hajui lugha ya malkia na amesaini kitu asichokijua labda kutokana na pressure au ahadi alizoahidiwa ahadi hazijatimia kaamua kuondoka tatizo liko wapi.

Feisal alirudisha pesa anazotakiwa kurudisha ikiwa atavunja mkataba na yanga kama ilivyokuwa kwenye kipengele chake alifanya hivyo ili aondoke tatizo liko wapi.

Kama feisal alivumilia kipindi cha zahera na team ilikuwa na hali mbaya kwa nini yanga wanashindwa kumpa thamani yake na kumuheshimu kama tatizo ni hela kwa nini hakuondoka kipindi cha bakuli akaenda lunyasi ila kwa mapenzi yake akaaamua kubaki jangwani tatizo la feisal liko wapi.

Kama yanga wanadai feisal ni mdogo kuliko yanga na ni kweli sasa kwa nini mnang'ang'ania abaki jangwani wakati kipengele cha ku terminate mkataba kipo feisal sio wa kwanza kuvunja mkataba kwa club na haitakuwa mwisho kumbukeni uhuni mliofanya kwa yondani marehemu sonso na lamine pamoja na saidoo na lucy aymel na walikuwa na mkataba bado ila mlifanya uhuni sasa nini kinashindikana kwa feisal.

NB:Kama mashabiki wa yanga wanaamini haji manara ni yanga damu licha ya kuwatukana na kuwaita majina ya kejeli kibao basi ni ngumu pia kuamini aliyoyasema feisal

Kama Morrison alishinda CAS kwa nini feisal asijaribu bahati yake kumbuka yanga hawajawahi kushinda kesi yoyote hata iwe ya kuku wakiongozwa na mwanasheria wao.

Simon Patrick aliwaingiza yanga chaka wakaenda CAS wakaangukia pua na hapa kawaingiza chaka kwa feisal wanaenda kuoga mvua na fine kam kawaida yao.

Jibiidishe na kazi ya kukuingizia kipato itakusaidia
 
Ujue kwenye sheria kuna kusoma sheria,kuijua sheria na kutafsiri sheria.Unaweza ukawa unaisoma sheria kumbe hujui kuitafsiri inatumika wapi na sehemu gani kwa wakati gani na ndio maana kwa mwaka huu Lawa school walio tobo ni 26 ktk 800.

Hivi hayo unayo ya zungumza ww unazani wanasheria wa Fei hawa yajui uliyo yaandika, why mpaka sasa wamebwaga mara tatu?

Hata ww mwenyewe hujui sheria, wanao ijua ni wale wanao simama mbele ya pilato,sababu ndio wanao itafsiri hapa tunauziana cha.

Halafu TFF sio mwisho kuna chombo kimewekwa na FIFA, CAS wanaweza kwenda kupata haki yao.
Kwani hakuna kesi kama za Feisali zilizowahi kuamuliwa kwa mujibu wa sheria ilivyoandikwa?

Au unafikiri hili ni jambo jipya?

Kwani wanasheria wa Feisali uliwahi kuwasikia maoni yao ukaona wanapingana na maelezo yangu?

Unaelewa dhumuni lao la kuipeleka hii kesi CAS ni nini kama wanapingana na haya maelezo yangu?
 
Ujinga upi?

Kuvunja Mkataba Kihuni bila kufuata taratibu.

Mkataba amevunja instagram/facebook bila yanga kujua ,sasa kwenye hiyo clip ameambiwa aseme kwamba alishakaa na Hersi(Yanga) kwa saa 6.
 
Kwani unafahamu hata kesi ya Fei TFF ilikuwa juu ya nn? Na kwanini Fei alirudi mara mbili?

Ni hivi,

1.Yanga ndo walikimbilia TFF kupata ufafanuzi iwapo Fei amevunja mkataba kihalali au la, TFF wakasema hajavunja kihalali huyu ni mchezaji wenu.

2. Fei akarudi TFF akiomba apewe taratibu za kuvunja mkataba akaambiwa aende Yanga wakae mezani.
Hapa according to Fei anasema walikaa masaa 6 wakapewa option 3 ambazo hazihusiani na Fei kuvunja mkaba bali zinambana arudi kambini.

3. Fei akakata rufaa TFF, akapewa jibu lile lile kuwa inabidi urudi Yanga mmalizane au nenda CAS.

Fei kaona aende CAS. Kule anatafuta ushindi mmoja tu, uhuru wake. Iwe kwa kuambiwa alipe faini Yanga au vinginevyo, na ikishindikana basi kuliko kurudi Yanga atakaa mtaani.

Sasa nikuulize. Yanga inataka nini kwa Fei mpaka ilazimishe utaratibu ambao hauruhusu mchezaji kuondoka?
Hapa umemueleweshaa ki ufasaha, asipo elewa basi muachee aendelee na kujitoa ufahamu wake
 
Sasa kwanini hili limeshindikana walipokaa mezani kwa masaa sita? Na bosi wako hakuweka kwenye list kuwa hili linawezekana. Aliweka mambo 3 tu ambayo yote yanamwelekeza Fei kurudi kambini.
Hivi unajua maana ya mazungumzo? Kwenye mazungumzo inategemea kuna kukubaliwa au kukataliwa. Mason Mount Chelsea still wanamtaka,ila dogo akataka kuongezewa hela,Chelsea kakataa now dogo kawasilisha ombi la kutaka kuuzwa still Chelsea anaonekana hataki kumwachia sababu bado anamkataba wa kuitumikia Chelsea.

Mazungumzo yakifanyika mmaweza mfikie au msifikie makubaliano, ila mwisho wa siku mkataba unasema Fei yupo chini ya Yanga.
 
Back
Top Bottom