joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nijifiche vip wakati issues ipo wazi TFF na tushashinda mara tatu.Unajificha sababu hujui ni taratibu zipi nje ya zile bosi wako Hersi alizosema. Unanirudishia interview ambayo nimeitumia kukuuliza maswali.
INSHORT HUJUI NI NINI FEI ANATAKIWA KUFANYA NJE YA ALIYOELEKEZWA NA HERSI.
Hersi yy kwenye swala la Fei sio msemaji bali hata yy anapokea ripoti kutoka kwa Mwanasheria wa Yanga anaye isimamia kesi.
Na hata anacho kiongea Hersi wa kwanza kukiongea alikuwa ni Mwanasheria wa Yanga, alivyo fanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kesi ya Fei ndicho hata mimi ninacho kijua.
Au wewe mwanasheria wa KUJIPACHIKA una unacho kijua zaidi ya wanasheria waliosimamia kesi ya Fei?