Tatizo la Foleni Nchini

Tatizo la Foleni Nchini

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,939
Reaction score
10,403
Wakuu,
Nauliza hivi: Je, viongozi wetu, watendaji na wakuu wa hitifaki za viongozi wanajua kuwa wananchi nao wana mipango, mahitaji na malengo yao yanayotegemea na kubanwa na MUDA (WAKATI)?? Je, wanajua kwamba misafara ya viongozi inawatia wananchi hasara?

Iweje wananchi wanasimamishwa kwenye foleni kwa zaidi ya masaa kisa eti kusafisha njia msafara wa magari ya kiongozi mmoja... kiongozi mmoja upite!

Hivi hakuna namna nzuri wanaweza kuwasafirisha hao viongozi zaidi ya hizi road-show-offs zinazotatiza shughuli mbalimbali za kijamii?

Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya... Ni miji inayoongoza kwa hizi kero za foleni za viongozi!
Pale Dodoma washazoea utasikia hiyo ni foleni ya Waziri Mkuu...

Gharama za hizo road-shows zinakuwa kubwa hasa kwa wale wenye safari za kuunga na vikao/mikutano. Mfano...Zaidi ya mara moja nishajikuta nacheleweshwa flight na kulazimika kulipia mara mbili!
Hapo fikiria kuhusu wagonjwa, wafanyabiashara, wageni watalii n.k wenye miadi mbalimbali isiyotambua dharura za kihitifaki!

Kinachoudhi ni kwamba barabara inasafishwa pande zote one to two hours before ukute hata kiongozi husika hajamalizia vikao vya ndani!

Ni kwamba matumizi ya akili ndo yamefikia mwisho katika kuratibu safari za viongozi? Au mnahitaji D ngapi kubaini kuwa tunawasababishia wananchi hasara?

Najiweka mbali kuzungumzia idadi ya magari kwenye misafara make kina jingalao hawachelewi kusema tuna wivu.

20240908_065523.jpg
20240908_065514.jpg
 
Wakuu,
Nauliza hivi: Je, viongozi wetu, watendaji na wakuu wa hitifaki za viongozi wanajua kuwa wananchi nao wana mipango, mahitaji na malengo yao yanayotegemea na kubanwa na MUDA (WAKATI)?? Je, wanajua kwamba misafara ya viongozi inawatia wananchi hasara?

Iweje wananchi wanasimamishwa kwenye foleni kwa zaidi ya masaa kisa eti kusafisha njia msafara wa magari ya kiongozi mmoja... kiongozi mmoja upite!

Hivi hakuna namna nzuri wanaweza kuwasafirisha hao viongozi zaidi ya hizi road-show-offs zinazotatiza shughuli mbalimbali za kijamii?

Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya... Ni miji inayoongoza kwa hizi kero za foleni za viongozi!
Pale Dodoma washazoea utasikia hiyo ni foleni ya Waziri Mkuu...

Gharama za hizo road-shows zinakuwa kubwa hasa kwa wale wenye safari za kuunga na vikao/mikutano. Mfano...Zaidi ya mara moja nishajikuta nacheleweshwa flight na kulazimika kulipia mara mbili!
Hapo fikiria kuhusu wagonjwa, wafanyabiashara, wageni watalii n.k wenye miadi mbalimbali isiyotambua dharura za kihitifaki!

Kinachoudhi ni kwamba barabara inasafishwa pande zote one to two hours before ukute hata kiongozi husika hajamalizia vikao vya ndani!

Ni kwamba matumizi ya akili ndo yamefikia mwisho katika kuratibu safari za viongozi? Au mnahitaji D ngapi kubaini kuwa tunawasababishia wananchi hasara?

Najiweka mbali kuzungumzia idadi ya magari kwenye misafara make kina jingalao hawachelewi kusema tuna wivu.

View attachment 3089934View attachment 3089935
Hili ni janga lingine kubwa, ni janga la kujitakia.
 
Bongo unakuta hadi mkuu wa mkoa hakai foleni mie najuaga rais waziri mkuu na makamu wengine ni kawaida tu mbunge ukiacha cheo cha uwaziri wa wizara aliyonayo
 
Wakuu,
Nauliza hivi: Je, viongozi wetu, watendaji na wakuu wa hitifaki za viongozi wanajua kuwa wananchi nao wana mipango, mahitaji na malengo yao yanayotegemea na kubanwa na MUDA (WAKATI)?? Je, wanajua kwamba misafara ya viongozi inawatia wananchi hasara?

Iweje wananchi wanasimamishwa kwenye foleni kwa zaidi ya masaa kisa eti kusafisha njia msafara wa magari ya kiongozi mmoja... kiongozi mmoja upite!

Hivi hakuna namna nzuri wanaweza kuwasafirisha hao viongozi zaidi ya hizi road-show-offs zinazotatiza shughuli mbalimbali za kijamii?

Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya... Ni miji inayoongoza kwa hizi kero za foleni za viongozi!
Pale Dodoma washazoea utasikia hiyo ni foleni ya Waziri Mkuu...

Gharama za hizo road-shows zinakuwa kubwa hasa kwa wale wenye safari za kuunga na vikao/mikutano. Mfano...Zaidi ya mara moja nishajikuta nacheleweshwa flight na kulazimika kulipia mara mbili!
Hapo fikiria kuhusu wagonjwa, wafanyabiashara, wageni watalii n.k wenye miadi mbalimbali isiyotambua dharura za kihitifaki!

Kinachoudhi ni kwamba barabara inasafishwa pande zote one to two hours before ukute hata kiongozi husika hajamalizia vikao vya ndani!

Ni kwamba matumizi ya akili ndo yamefikia mwisho katika kuratibu safari za viongozi? Au mnahitaji D ngapi kubaini kuwa tunawasababishia wananchi hasara?

Najiweka mbali kuzungumzia idadi ya magari kwenye misafara make kina jingalao hawachelewi kusema tuna wivu.

View attachment 3089934View attachment 3089935
Hii miungu watu shida sana huku Afrika.
 
Back
Top Bottom