Tatizo la Freeman Mbowe CHADEMA ni kupoteza Imani ya Wafuasi na Mashabiki wa CHADEMA Wala sio mapenzi ya wanachama au Viongozi wa CHADEMA

Tatizo la Freeman Mbowe CHADEMA ni kupoteza Imani ya Wafuasi na Mashabiki wa CHADEMA Wala sio mapenzi ya wanachama au Viongozi wa CHADEMA

ANT - NYONDENYONDE

Senior Member
Joined
Jul 29, 2024
Posts
154
Reaction score
173
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Soma Pia: Joto la Uchaguzi CHADEMA Taifa lazidi kupanda, miongoni mwa wanachama wadai ni wakati wa Mbowe kung'atua

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
 
Chama chochote Cha siasa makini kinapaswa kuwasikiliza wafuasi na mashabiki wake kwa sikio kubwa pengine kuliko hata wanachama wake wakati mwingine, Chadema ikifimbia macho hayo itabaki na wanachama wake, lakini itapoteza Imani kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa chama hicho, upepo wa mageuzi kwa sasa upo kwa tundu lissu, chadema waitumie fursa hii vizuri, nje ya hapo wasitafute mchawi
 
Chama chochote Cha siasa makini kinapaswa kuwasikiliza wafuasi na mashabiki wake kwa sikio kubwa pengine kuliko hata wanachama wake wakati mwingine, Chadema ikifimbia macho hayo itabaki na wanachama wake, lakini itapoteza Imani kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa chama hicho, upepo wa mageuzi kwa sasa upo kwa tundu lissu, chadema waitumie fursa hii vizuri, nje ya hapo wasitafute mchawi
Tangu lini Mbowe alikuwa Mpinzani?
 
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Post Bora mkuu, chama kinahitani wanachama, wafuasi na wapenzi pia Ili kiungwe mkono vizuri.Watu wengi nje ya chadema Wana Imani zaidi na lissu kuliko mbowe kwa sasa, huo ni ukweli.Ni jukumu la chadema kuamua kutumia karata hii vizuri au kuiacha
 
Post Bora mkuu, chama kinahitani wanachama, wafuasi na wapenzi pia Ili kiungwe mkono vizuri.Watu wengi nje ya chadema Wana Imani zaidi na lissu kuliko mbowe kwa sasa, huo ni ukweli.Ni jukumu la chadema kuamua kutumia karata hii vizuri au kuiacha
Huu ni ukweli mtupu, wafuasi wengi wa cdm si watu wa siasa za Mbowe za sasa za kujinyenyekeza kwa ccm. Wengi ni wafuasi wa siasa za Lisu za mshikemshike. Ukimfuatilia vizuri Mbowe ni kama anataka kusifiwa zaidi na ccm kuwa ana busara, badala ya kupambana nao.
 
Huu ni ukweli mtupu, wafuasi wengi wa cdm si watu wa siasa za Mbowe za sasa za kujinyenyekeza kwa ccm. Wengi ni wafuasi wa siasa za Lisu za mshikemshike. Ukimfuatilia vizuri Mbowe ni kama anataka kusifiwa zaidi na ccm kuwa ana busara, badala ya kupambana nao.
Unauhakika Mbowe nj Mpinzani 100%?
 
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Aanzisheni chama chenu. CHADEMA ni cha Mbowe na mkwe wake Edwin Mtei. Mnapoteza muda wenu bure, hamna uwezo wa kumtoa Mbowe
 
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
CHADEMA ndio chama pekee Cha Upinzani ambacho Viongozi wake wanagombea kulingana na mapenzi ya wanachama Wala sio Katiba
 
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Soma Pia: Joto la Uchaguzi CHADEMA Taifa lazidi kupanda, miongoni mwa wanachama wadai ni wakati wa Mbowe kung'atua

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Kumbuka waliopiga kura hizo wengi ni mamluki wa CCM.
 
CHADEMA tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikipewa nguvu zaidi na Wafuasi na mashabiki Wala sio wanachama wa chama hicho au Viongozi ambao kimsingi ni chini ya 10%

Kitu pekee CHADEMA wanapashwa kukilinda ni Mashabiki Wala sio wanachama Kwakuwa Tanzania iko kishabiki zaidi ya Uanachama na u-conservative,

Soma Pia: Joto la Uchaguzi CHADEMA Taifa lazidi kupanda, miongoni mwa wanachama wadai ni wakati wa Mbowe kung'atua

Leo ni wazi Mashabiki hawana imani tena na Freeman Mbowe huenda wanasababu au hawana ila kama CHADEMA itahitaji kuwa na ushawishi lazima wawazingatie zaidi Mashabiki na Wafuasi zaidi kuliko Wanachama au Viongozi.

Pitia hii pia imenifunza jambo KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?
Mama yenu Samia anaimani ipi Kwa watanzania? uchaguz wa mitaan mmepigwa kila kona Hadi mkakimbilia polis na huyo wazir wa inayoitwa tamisemi fake aliyejigeuza msimamiz wa uchaguzi, by the way mbowe hatoki mpende mfe au mnye na akitoka tunawawekea chuma lissu wajinga wa lumumba nyinyi.
 
Unauhakika Mbowe nj Mpinzani 100%?
Kama sio mpinzani mbona mnajambajamba kila siku anzisheni chama chenu huko lumumba mmegundua Yale mapumbavu yanayojiita vyama kumi na nne mnayoyalipia Hadi ukumbi na kuyapa posho huko lumumba hayawasaidii.
 
Tatizo kubwa lililopo chadema ni wanachama wake na hasa walio karibu na na Mbowe. Wao hawajui kwamba Mbowe Kwa sasa style ya uongozi wake kwa sasa haufai. Na kwamba kitapoteza washabiki wengi ambao kimsingi ni wapiga kura.
Kwa maana nyingine cdm inahitaji kupata kiongozi atakaye washa moto na kukifanya chama kuwa hot na kuipelekea moto CCM Kwa kuvunja maridhiano.
Na kiukweli kabisa watu waliotaka kuleta mabadiliko Mbowe aliwapiga vita wakaondoka. Chama kitabaki na Mbowe na kuwakatisha tamaa wapiga kura wake.
 
Chadema ni chama chenye nguvu na system inajua walah nakuapia uchaguzi ukifanyika kwny box na usifanyiwe zengwe ccm inapigwa parefu, bahati ni kwamba ccm in backup ya serikali over.
 
Mbowe ni kiongozi mzuri anayekubalika na wananchi wengi. Hata CCM tunamkubali mno. Lissu ni kirusi ndani ya CHADEMA
 
Mbowe ni kiongozi mzuri anayekubalika na wananchi wengi. Hata CCM tunamkubali mno. Lissu ni kirusi ndani ya CHADEMA
Haahaa Kwa sasa ccm wanamkubali mbowe kwa lengo moja tu, kuendelea kumrubuni huku wakijipangia matokeo wayatakayo kwenye chaguzi
 
Back
Top Bottom