Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jitahidi mwakani umiliki nibaki mimi tu humu ndio sina gari.nilisema nikiolewa la mume wangu ndo ntaliosha home ila langu (ntanunua au ntanunuliwa ) 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi mwakani umiliki nibaki mimi tu humu ndio sina gari.nilisema nikiolewa la mume wangu ndo ntaliosha home ila langu (ntanunua au ntanunuliwa ) 😂😂
mwakani ndo naenda kwa nanasi kuanza kuweka bukubuku😂😂Jitahidi mwakani umiliki nibaki mimi tu humu ndio sina gari.
😂 kwa mwendo huo adi wajukuu wakununuliemwakani ndo naenda kwa nanasi kuanza kuweka bukubuku😂😂
sponser ntapata😂😂😂 kwa mwendo huo adi wajukuu wakununulie
Kwahiyo wewe wapenda juke!?sponser ntapata😂😂
namwambia baby nataka kununua nissan Juke nina 600k naomba uniongezee
hapana nimetaja tuKwahiyo wewe wapenda juke!?
Yani una laki 6 halafu unataka gari ya million 25? Hio hela uliyonayo ni ya madalali kugawana posho tu😂sponser ntapata😂😂
namwambia baby nataka kununua nissan Juke nina 600k naomba uniongezee
si ndo namwambia baby aniongezee sasa😂😂😂Yani una laki 6 halafu unataka gari ya million 25? Hio hela uliyonayo ni ya madalali kugawana posho tu😂
Nimeshindwa kukupa double likes!! Kuna mafundi ni vichefuchefu asee,Futa namba yake sahivi.
Straight head gasket issue, na kwa sababu inakula oil pia, utakuwa na tatizo la rings na valve seal. Labda kwa kufuata mtiririko wa matatizo ndo maana fundi kakushauri ununue engine nyingine.Gari ni toyota vanguard ya 2009. Inachemsha mkuu, na ukiongeza maji hayavuji mahali lakin huyaoni pia kujaa
Halafu mkiliwa viboga mnaona watu wana dhambi😂 oh wanaume wote mbwasi ndo namwambia baby aniongezee sasa😂😂😂
😂mimi nimesema hivyo?Halafu mkiliwa viboga mnaona watu wana dhambi😂 oh wanaume wote mbwa