Tatizo la gari kushtukashtuka

Tatizo la gari kushtukashtuka

Teremaro

Member
Joined
Mar 18, 2022
Posts
29
Reaction score
26
Habari ndugu wana jamii forum, gari yangu aina ya nissan duals nmebadili plug juz tu,ila naona utofauti baada ya kubadili kwan gari kuna saa kama inashtukashtuka hivi kitu ambacho mwanzo hakikuwepo naomba mwenye kujua original plug za nissan duals anisaidie maana hawa mafundi wetu wanatuingiza chaka sana unajikuta umeingia hasara na pia kuharibu vitu vingine bola sababu.

Sababu ya kubadili zilizokuwepo mwanzo ni kwamba nliona kama gari inachelewa kuwaka nikiwasha kitu ambacho kwa sasa hakipo ila sasa tatzo limeanza tena gari kushtuka shtuka
 
Pole kwa mkasa...Kwanza plugs za Nissan mara nyingi ni NGK za Iridium...
Ziwe doble iridium yaani zina ncha mbili zinatazamana kwenye upande wa ground na centre kama inavyoonekana hapo kwenye picha..

Nissan hazitaki plug za TOYO....
NGK double iridium ni ghali, ukizipata hazipungui 40k kwa moja..
Nunua spark plugs genuine urudishie hapo.
 

Attachments

  • 4PCS-Original-NGK-DILKAR7D11H-90565-Laser-Iridium-Platinum-Spark-Plug-For-Nissan-TEANA-Qashqai...jpg
    4PCS-Original-NGK-DILKAR7D11H-90565-Laser-Iridium-Platinum-Spark-Plug-For-Nissan-TEANA-Qashqai...jpg
    181.8 KB · Views: 17
hii tabia yakupeleka gari ya Nissan iwe duals au Xtrail kwa mafundi wa chini ya muembe au gereji bubu tena wanao bahatisha wanaweka spare za buku mbili wanaharibu alafu utasikia hizi gari mbovu kumbe nissan hazitaki magumashi inahitaji vitu genuine..sasa ww na hio Duals yako endelea na hao mafundi wako wa vichochoroni litakuwakia siku shauri yako.!
 
Habari ndugu wana jamii forum, gari yangu aina ya nissan duals nmebadili plug juz tu,ila naona utofauti baada ya kubadili kwan gari kuna saa kama inashtukashtuka hivi kitu ambacho mwanzo hakikuwepo naomba mwenye kujua original plug za nissan duals anisaidie maana hawa mafundi wetu wanatuingiza chaka sana unajikuta umeingia hasara na pia kuharibu vitu vingine bola sababu.

Sababu ya kubadili zilizokuwepo mwanzo ni kwamba nliona kama gari inachelewa kuwaka nikiwasha kitu ambacho kwa sasa hakipo ila sasa tatzo limeanza tena gari kushtuka shtuka
Pump ya mafuta hiyo.
1. Gari kuchelewa kuwaka
2. Gari kukosa nguvu
3. Gari kushtuka shtuka
 
Habari ndugu wana jamii forum, gari yangu aina ya nissan duals nmebadili plug juz tu,ila naona utofauti baada ya kubadili kwan gari kuna saa kama inashtukashtuka hivi kitu ambacho mwanzo hakikuwepo naomba mwenye kujua original plug za nissan duals anisaidie maana hawa mafundi wetu wanatuingiza chaka sana unajikuta umeingia hasara na pia kuharibu vitu vingine bola sababu.

Sababu ya kubadili zilizokuwepo mwanzo ni kwamba nliona kama gari inachelewa kuwaka nikiwasha kitu ambacho kwa sasa hakipo ila sasa tatzo limeanza tena gari kushtuka shtuka
,mkuu kwanza pole,

Pili huo ni ugonjwa kwenye hizo engine za mr20de, dualis na xtrail t31,

tatu mpaka sasa hapa mjini sijaona duka linalouza plug original.

Endelea kutafuta, ukishindwa zipo plug za kichina ambazo,ni compatible na hiyo engine yako, tena ni original utachagua wewe kama unataka za Ruthenium au Iridium. Ila bei ujipange na pia ni za kuagiza nje.

Karibu sana
 
Pole kwa mkasa...Kwanza plugs za Nissan mara nyingi ni NGK za Iridium...
Ziwe doble iridium yaani zina ncha mbili zinatazamana kwenye upande wa ground na centre kama inavyoonekana hapo kwenye picha..

Nissan hazitaki plug za TOYO....
NGK double iridium ni ghali, ukizipata hazipungui 40k kwa moja..
Nunua spark plugs genuine urudishie hapo.
Ishu ni specs tu unaweza funga kampuni yoyote, nishafunga sana plug za kampuni za kichina kwenye hizo nissan as long as ni original hazina shida.
 
Pole kwa mkasa...Kwanza plugs za Nissan mara nyingi ni NGK za Iridium...
Ziwe doble iridium yaani zina ncha mbili zinatazamana kwenye upande wa ground na centre kama inavyoonekana hapo kwenye picha..

Nissan hazitaki plug za TOYO....
NGK double iridium ni ghali, ukizipata hazipungui 40k kwa moja..
Nunua spark plugs genuine urudishie
100%
 
Habari ndugu wana jamii forum, gari yangu aina ya nissan duals nmebadili plug juz tu,ila naona utofauti baada ya kubadili kwan gari kuna saa kama inashtukashtuka hivi kitu ambacho mwanzo hakikuwepo naomba mwenye kujua original plug za nissan duals anisaidie maana hawa mafundi wetu wanatuingiza chaka sana unajikuta umeingia hasara na pia kuharibu vitu vingine bola sababu.

Sababu ya kubadili zilizokuwepo mwanzo ni kwamba nliona kama gari inachelewa kuwaka nikiwasha kitu ambacho kwa sasa hakipo ila sasa tatzo limeanza tena gari kushtuka shtuka
Mkuu mimi nimetoka kwa bwana jitulamiraba kaniwekea plug ambazo amrnipa matumizi ya 30000 zikizingua nirudishe ila bei imeshiba. Sasa mimi yangu kuna watu walikuwa wamekwishaniambia ninunue gearbox ilikuwa inastuka kwa mwendelezo hadi nizidi speed 60. Nishabadili plug mara 3 lakn wapi hadi nilikuwa nshaaamini ni gearbox
 
Mkuu mimi nimetoka kwa bwana jitulamiraba kaniwekea plug ambazo amrnipa matumizi ya 30000 zikizingua nirudishe ila bei imeshiba. Sasa mimi yangu kuna watu walikuwa wamekwishaniambia ninunue gearbox ilikuwa inastuka kwa mwendelezo hadi nizidi speed 60. Nishabadili plug mara 3 lakn wapi hadi nilikuwa nshaaamini ni gearbox
Mafundi wetu changamoto sana mkuu, vp baada ya kubadili plug kwa jitu miraba minne sa hvi inadumbua bdo ? Na vp ulaji wa mafuta
 
Back
Top Bottom