Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Mkuu, naomba unipe maelekezo zaidi katika huo mrehani. Umesema tafuna majani mawili mpaka manne kila asubuhi kabla Ya kula chochote, kisha ukasema kamua majani ili upate kijiko kimoja cha chai. Swali, kuna haja ya kukamua hayo majani ili upate juice ikiwa utakula majani manne kabla ya hapo?

Mkuu, kama utakuwa unayatafuna basi hakuna sababu tena ya kunywa Na juisi yake
 
Asante mkuu kwa thread nzuri,sisi tunaonunua mdalasini kwenye masoko yetu ya uswahilini tutajuaje hatununui ule wenye sumu?maana tunakuta uko packed kabisa na wakati mwingine umesagwa tayari

Mkuu, unatakiwa tu umuulize anayeuza kama ni mdalasini ya aina gani anayoiuza. Kama na yeye hajuwi basi shida itaanzia hapo, lakini ukiutaka unaweza kuwasiliana na mimi!
 
Ukiacha dawa za hospitali, tafadhali kama kuna aneyejua au anayeweza kutibu kisukari, naombeni msaada.
 
Kisukar ndugu yng haitibiki, sema Kuna dawa za kuunguza makali yk, kwasabb kongosho likishakufa haliji jingine ndugu
 
Dhafir kuna mahali unakosea..usiseme hakuna sema hujui..

Dawa kisukari ambayo viwanda vya kutengeneza madawa havitaki watu waijue kw sababu itaua viwanda vyao ni..

Kuoga na maji baridi asubuhi..mara kwa mara.


Hii inasababu yake ya kitaaalam..ina uhusiano na brown fats na kicjocheo cha kuongeaza joto la.mwili ambapo kuna kemikali inatolewa na kongosho ambayo inarudisha uwezo wa kongosho kurekenisha kiasi cha sukari mwilini.


Kama mtu ni mgonjwa wa kisukari ajaribu hii mbinu alafu apime mwenendo wa sukari yake..utaona mafanikio atayoyapata
 
Dhafir kuna mahali unakosea..usiseme hakuna sema hujui..

Dawa kisukari ambayo viwanda vya kutengeneza madawa havitaki watu waijue kw sababu itaua viwanda vyao ni..

Kuoga na maji baridi asubuhi..mara kwa mara.


Hii inasababu yake ya kitaaalam..ina uhusiano na brown fats na kicjocheo cha kuongeaza joto la.mwili ambapo kuna kemikali inatolewa na kongosho ambayo inarudisha uwezo wa kongosho kurekenisha kiasi cha sukari mwilini.


Kama mtu ni mgonjwa wa kisukari ajaribu hii mbinu alafu apime mwenendo wa sukari yake..utaona mafanikio atayoyapata


mmmh hyo dawa yako ya kuoga maji barid inatibu aina ipi ya kisukari

aina ya kwanza au ya pili??
 
Vyote..maana mwili ni self healing tatizo tunaondoa balance iliyopo..ndio maana tunaumwa..solution ni kufuata masharti yote na kuanza hiyo therapy ya kuoga maji baridi daily alafu ufuatilie mabadiliko
 
Vyote..maana mwili ni self healing tatizo tunaondoa balance iliyopo..ndio maana tunaumwa..solution ni kufuata masharti yote na kuanza hiyo therapy ya kuoga maji baridi daily alafu ufuatilie mabadiliko

mwili ni self healing pale tu kila kitu kipo sawa mwilini

mtu mwenye kisukari aina ya kwanza ambapo konyonsho halizalishi tena insulin kuoga maji ya baridi kutasaidiaje Ku metabolise sukari mwilini


pia mwenye aina ya pili kongosho linazalisha insulin lakin haitoshelez mahitaji

sasa maji ya baridi yanadaidiaje kusaidia kazi ya kongosho hapo

naomba maelezo ya kina

sikuzote napenda sikia maelezo ya hizi tiba mbadala
 
Kisukar ndugu yng haitibiki, sema Kuna dawa za kuunguza makali yk, kwasabb kongosho likishakufa haliji jingine ndugu
Dawa ya kutibu Maradhi ya kisukari kwa Tiba Mbadala mimi ninayo ukihitaji wasiliana na mimi lakini kwa gharama ndio nitakupa unaweza kunitafuta mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Dhafir kuna mahali unakosea..usiseme hakuna sema hujui..

Dawa kisukari ambayo viwanda vya kutengeneza madawa havitaki watu waijue kw sababu itaua viwanda vyao ni..

Kuoga na maji baridi asubuhi..mara kwa mara.


Hii inasababu yake ya kitaaalam..ina uhusiano na brown fats na kicjocheo cha kuongeaza joto la.mwili ambapo kuna kemikali inatolewa na kongosho ambayo inarudisha uwezo wa kongosho kurekenisha kiasi cha sukari mwilini.


Kama mtu ni mgonjwa wa kisukari ajaribu hii mbinu alafu apime mwenendo wa sukari yake..utaona mafanikio atayoyapata

Mwehut maji yenye ubaridi wa kiwango gani ? kwa hiyo unataka kusema sio vizuri kiafya kuogea maji ya moto hata kwenye nchi ya baridi ?
 
Maji ya baridi kama ni mkoa wako una joto ndio ufanye maarifa..upate maji baridi..ili kuusisimua mwili utengeneze joto..ambapo ndio utatoa kemikali maalum ambazo zitaishtua kongosho ianze ku play role yake
 
Dawa ya kutibu Maradhi ya kisukari kwa Tiba Mbadala mimi ninayo ukihitaji wasiliana na mimi lakini kwa gharama ndio nitakupa unaweza kunitafuta mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
Zimeshawahi kuletwa tuhuma dhidi yako kuwa wewe ni tapeli, hudhani huu ni wakati wa wewe kutoa dawa kwa mteja wako kutoa pesa nusu na nusu nyingine atoe pale atakapo pona?
 
Zimeshawahi kuletwa tuhuma dhidi yako kuwa wewe ni tapeli, hudhani huu ni wakati wa wewe kutoa dawa kwa mteja wako kutoa pesa nusu na nusu nyingine atoe pale atakapo pona?
Ukiwa mtu mzuri na unapenda kuwasaidia watu basi utakuwa na maaduwi wengi. Ukiweza kuniamini niamaini usipoweza kutoniamini unaweza kutafuta mtu mwengine atakayeweza kukusaidia. Mkuu SUPU YA MAWE Nimewasaidia Wengi tu humu ndani na sihitaji malipo, malipo yangu atanilipa Mwenyeezi Mungu sitegemei binadamu kunilipa binadamu utamfanyia wema atakulipa ubaya ndivyo alivyo binadamu tabia yake.
 
Ukiacha dawa za hospitali, tafadhali kama kuna aneyejua au anayeweza kutibu kisukari, naombeni msaada.
Ndugu kabugira, ogopa matapeli. Hakuna dawa ya kuponyesha kisukari kokote duniani. Zilizopo ambazo zimefanyiwa tafiti ni hizo za hospitalini katika mfumo wa vidonge na majimaji lakini nazo hazileti cure...
 
Last edited by a moderator:
Dhafir kuna mahali unakosea..usiseme hakuna sema hujui..

Dawa kisukari ambayo viwanda vya kutengeneza madawa havitaki watu waijue kw sababu itaua viwanda vyao ni..

Kuoga na maji baridi asubuhi..mara kwa mara.


Hii inasababu yake ya kitaaalam..ina uhusiano na brown fats na kicjocheo cha kuongeaza joto la.mwili ambapo kuna kemikali inatolewa na kongosho ambayo inarudisha uwezo wa kongosho kurekenisha kiasi cha sukari mwilini.


Kama mtu ni mgonjwa wa kisukari ajaribu hii mbinu alafu apime mwenendo wa sukari yake..utaona mafanikio atayoyapata

Mkuu acha utapeli. Kisukari utibu kirahisi kiasi hicho... Wengine miaka nenda rudi wanaoga hayo maji ya baridi lakini wana kisukari. Mwili wa binadamu hauna explanation ndogo kama hizo. Ndio maana watu wanasoma mpaka basi...
 
Back
Top Bottom