Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Victoire,

Umefanya kipimo cha Glycated haemoglobin (HbA1C)? Kama ipo >7% una kisukari
Sehemu nyingine wanafanya oral glucose tolerance test
 
Ninasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari nawaombeni mnisaidie dawa mbadala nimetumia dawa za kizungu nimeshindwa najua JF kuna wataalamu.
 
Mkuu kwanza pole sana na pia matibabu hayapo rahisi kiasi hichi

Kisukari kipo cha aina mbili na pia haujaelezea zaidi kuhusu wewe mwenyewe

Hiyo hipelekea ugumu kwa wewe kusaidika

Bagwell
 
Vilevile nimegundua kupunguza kusukari baada ya kula chakula kunywa matango ya kusaga /blend na maji. Tango mmoja linatosha au nusu kwa mchana baada ya kula na nusu jioni. vilevile inabidi upime ujue kisukari kipo level gani. chukua vipimo vya kijipima mwenyewe kwenye pharmacy halafu wakupe maekezo ya kujipima. mimi ni mshauri tu sio DR
 
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 61 nimepima kisukari nimeambiwa nina 13.7. Je, wana jf mnanipa ushauri gani?

Pia miguu inakufa ganzi kwa mbele hata nikivaa ndala yaweza kuchomoka bila mimi kujua sasa basi wana jf

Nisaidien ushauri na tiba ya tatizo hilo.
 
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 61 nimepima kisukari nimeambiwa nina 13.7. Je, wana jf mnanipa ushauri gani?

Pia miguu inakufa ganzi kwa mbele hata nikivaa ndala yaweza kuchomoka bila mimi kujua sasa basi wana jf

Nisaidien ushauri na tiba ya tatizo hilo.
Kwa majibu haya, inawezekana una ugonjwa wa kisukari na hiyo ganzi ni madhara ya kuwa na kisukari kwa muda mrefu bila kutibiwa. Nakushauri ufike kituo cha kutolea huduma za afya na kupata matibabu na ushauri wa kitaalamu.
 
Una ugonjwa unaitwa diabetic peripheral neuropathy
Tumia dawa hii
Imipramine 100mg kila Siku ganzi iishe

Na pia jitahidi kula vyakula visivyo na sukari,ufanye mazoezi na pia utumie na dawa za kumeza

Metformin 500mg twice before meal
Asant.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 61 nimepima kisukari nimeambiwa nina 13.7. Je, wana jf mnanipa ushauri gani?

Pia miguu inakufa ganzi kwa mbele hata nikivaa ndala yaweza kuchomoka bila mimi kujua sasa basi wana jf

Nisaidien ushauri na tiba ya tatizo hilo.
Shikamoo kaka,pole naomba uwahi hospital tafadhali
 
Una ugonjwa unaitwa diabetic peripheral neuropathy
Tumia dawa hii
Imipramine 100mg kila Siku ganzi iishe
Na pia jitahidi kula vyakula visivyo na sukari,ufanye mazoezi na pia utumie na dawa za kumeza
Metformin 500mg twice before meal
kwa umri alio nao Kisukari si ajabu
ila asitumie dawa kwa sasa ajaribu kufuata mpangilio wa chakula visivyo na sukari au chumivi nyingi
Kongosho limechoka na halitambuli sukari ya aina yoyote
akianza vidonge hataacha hadi kifo chake, na hapo ndio kazi kubwa kuliko kutibu ugonjwa wowote
kuna Mada nyingi za Sukari humu JF awasiliane na MziziMkavu
 
Nenda kwa Dr aliyekupima uanze dawa mapema halafu utapewa ushauri wa chakula unachotakiwa kula kuanzia leo
 
Back
Top Bottom