Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Wanazingua hao hata mimi niliambiwa hivyo, watu wamekariri na madaktari wengi wanapotosha kiukweli nyama nyekundu ni salama, ingekuwa ina madhara wamasai wengi wangekuwa na sukari.

Adui wa kisukari ni vitu viwili tu
1) vyakula vya wanga
2) sukari yoyote ile
Sawa maana hospital nimeambiwa nisitumie nyama nyekundu
 
Mkuu unazungumziaje karanga, korosho nisalama kutumia kama kiungo cha mboga
Kula mpaka ugare gare, unaishi wapi nikupe hicho kitabu kitakusaidia sana. Vitu vingi tunavyoambiwa hospitali si vya kweli, maana WHO wanakuwa washabadilisha wao wamecrame.

Mimi mama yangu pia alikuwa na sukari 19 ila kwa sasa inasoma 8 mpaka 9 . Na bado inashuka kidogo kidogo .
 
Kula mpaka ugare gare, unaishi wapi nikupe hicho kitabu kitakusaidia sana. Vitu vingi tunavyoambiwa hospitali si vya kweli, maana WHO wanakuwa washabadilisha wao wamecrame.

Mimi mama yangu pia alikuwa na sukari 19 ila kwa sasa inasoma 8 mpaka 9 . Na bado inashuka kidogo kidogo .
Sawa kiongozi wangu aiseeh niko Nachingwea Lindi
 
Mambo vipi wadau wa JF!

Naombeni kujua dalili za mwanzo za ugonjwa wa kisukari(Diabetes)
 
Nakuelekeza kafanye mwenyewe ss hivi. Kojoa mkojo wako kinga kidogo kwenye kifuniko cha maji ya kunywa halafu unywe huo mkojo. Ukikuta una sukari wahi hospitali mapema ukaanze matibabu ama rekebisha ulaji wako
Na akifanya maha anakufa
 
Mimi ni muathirika wa ugonjwa wa Kisukari lakini kutoka na kufuata masharti na kutumia dawa za aina mbali mbali naona sukari iko normal kabla sijala inasoma tano nikiwa nmekula ni saba na vipoint

Shida ni kua mwili wangu bado umendea kua dhaifu sana, uchovu mwng yan bado sina aman nmeshapima typhoid, malaria na UTI zote hakuna....

Doctor nisaidie
 
mimi ninmuatghirika wa ugonjwa wa sukar lakin kutoka na kufuata masharti na kutumia dawa za aina mbali mbali naona sukar iko normal kabla sijala inasoma tano nkiwa nmekula ni saba na vipoint shida ni kua mwil wangu bado umendea kua dhaifu ssna, uchovu mwng yan bado sina aman nmeshapima typhoid, malaria na UTI zote hakuna....plz doctor nisaidie
Nenda hospitali kapime damu Full blood picture itaonyesha una maradhi gani yaliyo jificha? huendapia una upungufu wamadini ya chuma au vitamin mwilini mwako au unayo asidi nyingi ndio maana mwili unachoka pasipo na sababu. Je ugonjwa wako wakisukari umepona kabisa?Kama hujapona kabisa nitafute mimi nipate kukutibia maradhi yako. Na je una kilo ngapi mwilini mwako?
 
Nenda hospitali kapime damu Full blood picture itaonyesha una maradhi gani yaliyo jificha? huendapia una upungufu wamadini ya chuma au vitamin mwilini mwako au unayo asidi nyingi ndio maana mwili unachoka pasipo na sababu. Je ugonjwa wako wakisukari umepona kabisa?Kama hujapona kabisa nitafute mimi nipate kukutibia maradhi yako. Na je una kilo ngapi mwilini mwako?
Mkuu hyo nishapima na waksema iko poa kabisa
IMG_20210906_132722_1.jpg
 
Back
Top Bottom