Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Kwa tatizo hili la ugonjwa wa kisukari hapa nzchini kwanini wanasiasa wanaotengeneza ilani ya vyama vyao asiwepo mmoja akaliona hili tatizo na kuja na sera ya matibabu yake yawe bure Kama magonjwa ya TB na Homa ya ini, hasa chanjo.
Kwani kwa Sasa swala la chanjo ya Homa ya ini ni tatizo kuipata na ukiipata bei yake ni kubwa sana kwa familia masikini ni ngumu kumudu.
Nadhani athari za ugonjwa huu nchini kwa Sasa ni kubwa sana. Zamani ilionekana ni ugonjwa wa matajiri, ila kwasasa ni kwa watu wengi hasa masikini.
Kuwe na muongozo wa wizara ya afya kwa vipimo na matibabu yawe bure.
Hilo ni wazo langu tu kwa wanasiasa!! Nawasilisha.
Kwani kwa Sasa swala la chanjo ya Homa ya ini ni tatizo kuipata na ukiipata bei yake ni kubwa sana kwa familia masikini ni ngumu kumudu.
Nadhani athari za ugonjwa huu nchini kwa Sasa ni kubwa sana. Zamani ilionekana ni ugonjwa wa matajiri, ila kwasasa ni kwa watu wengi hasa masikini.
Kuwe na muongozo wa wizara ya afya kwa vipimo na matibabu yawe bure.
Hilo ni wazo langu tu kwa wanasiasa!! Nawasilisha.