Pole sanaHabari wakuu
MWEZI uliopita katika harakati zangu shambani nikajikata na panga maeneo ya goti nikaishwa hospital wakanishona nyuzi Tano Hali ya kindonda inaendelea kukimarika ila bado gotiii halitaki kukunja
Halii hiii inanitesa sana je nichukue hatua Gani za kitabibu?
Ngoja tusubili madaktari wajeAHSANTE mkuu
Nenda hospital rufaa za mikoa ukaonane na wataalam wa physiotherapy utapata msaadaHabari wakuu
MWEZI uliopita katika harakati zangu shambani nikajikata na panga maeneo ya goti nikawaishwa hospital wakanishona nyuzi Tano Hali ya kindonda inaendelea kuimarika ila bado gotiii halitaki kukunja
Halii hiii inanitesa sana je nichukue hatua Gani za kitabibu?
2015 niliumia goti mpirani na likawa halitaki kukunja mguu wa kushoto nikawaelezea wachezaji mpira maveterani wakanambia ww ukunje mdo mdo tu utakubali kweli nikawa najikaza ivo ivo mwisho mpk goti likakubali ila uwe mvumilivu tu na hayo maumivu yakeHabari wakuu
MWEZI uliopita katika harakati zangu shambani nikajikata na panga maeneo ya goti nikawaishwa hospital wakanishona nyuzi Tano Hali ya kindonda inaendelea kuimarika ila bado gotiii halitaki kukunja
Halii hiii inanitesa sana je nichukue hatua Gani za kitabibu?
2015 niliumia goti mpirani na likawa halitaki kukunja mguu wa kushoto nikawaelezea wachezaji mpira maveterani wakanambia ww ukunje mdo mdo tu utakubali kweli nikawa najikaza ivo ivo mwisho mpk goti likakubali ila uwe mvumilivu tu na hayo maumivu yake
Dah m ni yanki sanaaa 2015 namaliza F4 aHali mkuu
bas patakunja uvimbe ukipungua, jitahidi kukanda na barafu kupunguza majimaji yanayoleta uvimbe.Ndio Kumevimba
Nadhani ni mwezi mmojamna niliumia mwezi wa tano nikaenda likizo ile mwezi wa 6 kurudi shule nipo fresh nasakata kabumbuIlikichukua MUDA Gani hiyo hali mkuu