Tatizo la harufu mbaya puani na mdomoni

erkuz47

New Member
Joined
Mar 8, 2016
Posts
3
Reaction score
3
Wanajamii folum kwa mda sasa na tatizo la kupumua halufu nzito na kutoa halufu mbaya mdomoni inayo pelekea kunipa usumbufu kuwasilina na watu naomben msaada mawazo na nitumie dawa gan
 
Kamuone daktari ndugu...ila pia jitahidi kuzidisha usafi,
Piga mswaki kila baada ya kula na kama unaweza tembea na mouthwash
unaiacha tu ndani ya gari ukijisikia unawash mouth kila baada ya muda.
 
Wanajamii folum kwa mda sasa na tatizo la kupumua halufu nzito na kutoa halufu mbaya mdomoni inayo pelekea kunipa usumbufu kuwasilina na watu naomben msaada mawazo na nitumie dawa gan
Pole sana mkuu kwa hilo tatizo, Ila nawaza kwa sauti hivi ulisoma kile kipindi cha mgomo wa walimu au? Nawaza tu
 
Wanajamii folum kwa mda sasa na tatizo la kupumua halufu nzito na kutoa halufu mbaya mdomoni inayo pelekea kunipa usumbufu kuwasilina na watu naomben msaada mawazo na nitumie dawa gan

Piga mswaki asbuhi na jioni
Hafu kila baada ya mlo sukutua mdomo na juice ya vitunguu maji
hafu kila mlo hakikisha unatafuna kitunguu maji kimojaa
 
Mkuu pole sana jaribu zile dawa za mswaki zils za kichina hua wanaziuzaga hawa jamaa wa promotion mikononi (jina kidogo limenitoka) alafu jitahidi uwe unatafuna big g kila mda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…