Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 884
- 376
Za saa hizi waungwana. Mimi ninaumwa jino na nipo Kilimanjaro.
Nasikia hindu mandali wanauwezo wa kutoa jino bila sindano au wanakupaka dawa afu wanakuchoma sindano bila maumivu.?
Na je bima ya Afya inatumika.
nataka nitoke moshi nije dar
Nasikia hindu mandali wanauwezo wa kutoa jino bila sindano au wanakupaka dawa afu wanakuchoma sindano bila maumivu.?
Na je bima ya Afya inatumika.
nataka nitoke moshi nije dar