Tatizo la kichwa cha uume kubabauka

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Ndugu wana jamvi naombeni msaada wenu wa mawazo kwani rafiki yangu ana tatizo la kichwa cha uume wake umekuwa umebabuka kama kidonda kinachoelekea kupona na limempata yapata mwezi sasa tatizo hili amekuwa akipaka maji linarudi vzr baada ya dakika kumi hurudi hali ya kawaida .Ameenda hospital amepewa dawa za tube za kupaka lakini matokeo imesaidia kwa kiasi kidogo sana

Naombeni msaada wa mawazo kwa sababu naamini jamiii forum kuna watu wenye uwezo mkubwa na mungu awabariki
Asante
 
mwambie awe anavaa chupi safi pia aache kujichua
 
Huo urafiki wenu wa kuoneshana uume huo shauri yenu
 
Huyo rafik yako hajui kufungua uzi? urafiki gani huu hadi mnaonyeshana mboo, mpaka majibu ya dr.
 
Pole. Kwahiyo alikuonyesha tu kichwa au aliendelea kukuonyesha na vingine?
 
ni wewe mkuu, alafu weka picha tuone
 
Sasa mkuu kama unatatizo hilo kwanini usiende hospital?
ila ingependeza kama ungeweka na kapichai
 
ww ulionaje?? au alikukgegeda ukagundua
 
weka picha mkuu , ila najua lazma ulichovya kwa demu wa kigogo maana huwa hawaogi na kusafisha nyuchi
 

Si useme tu kuwa ni wewe? Angalia uliko pita yawezekana umepita private road, na hayo ni moja ya matokeo yake. Ukaombe msamaha na ukatubu vinginevyo hicho kiungo kitaisha siku si njingi au kitapigwa ban.
 
Si useme tu kuwa ni wewe? Angalia uliko pita yawezekana umepita private road, na hayo ni moja ya matokeo yake. Ukaombe msamaha na ukatubu vinginevyo hicho kiungo kitaisha siku si njingi au kitapigwa ban.
amber rutty kaharibu sana watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…