Tatizo la kifua

Tatizo la kifua

shalolizo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
336
Reaction score
203
Habarini wataalam wa afya,,nimejitokeza hapa kuja kuomba ushauri wa kitaalam kuhusu tatizo la kifua,nasumbuliwa na kifua kukohoa kwa muda mrefu na muda mwingine huwa kuna kimruzi flani hivi kinatoka,nimeshaenda kwa dokta mmoja hivi aliniambia kuna tatizo kwenye njia ya upumuaji akanipa dawa kukitulia lakini kimeanza tena,,Naomba ushauri wenu
 
Vp TB ume check??
Ucvute sigara, vitu barid kama vimiminika acha kabisa.
Ila zaid ungewaona ma specialist
 
Back
Top Bottom