Tatizo la kitovu kuvuja damu

colours

Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
70
Reaction score
14
Mdogo wangu wa ni wa kike ana umri wa miaka 25 na ana mtoto mmoja mwenye miaka 4.

Amekua akilalamika maumivu ya kitovu kwa muda mrefu, nimeshangaa juzi kuona anavuja damu kutoka kwenye kitovu tena kikiwa kimevimba kiasi.
Tumeenda hospitali, wamekichana, wakakifunga kile kidonda. Sasa bado kinavuja damu na kuna muda kinatoa maji.

Je huu ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini? Na unaweza kutibika vipi?
 
Kama ulienda hospital walikuwambia nn(ugonjwa gani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…