Loeli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 997
- 763
Wataalam nawasalimu. Nina ndugu Yangu amepata tatizo la kiu Mara kwa Mara. Yaani akinywa Maji haipiti hakika 10 midomo imekauka kiu. Amekwenda hospital amefanyiwa vipimo vya diabetes tena wanaita miezi mitatu mfululizo (sijui medical term yake) na ana sukari normal kabisa, H. Pylori negative, vipimo vingi tu normal. Ila pressure ikawa juu 135/85 (ana 50 years). Ila pia akawa na tatizo la kutosikia njaa na gas sana (alishawahi kupata H.Pylori akatibiwa akapona ila kaambiwa vidonda na kama vilipona). Hivyo basi Dr. Specialist wa last months alimpa dawa za vidonda na vitamins ila akaambiwa ajitahidi aweke uzito vizuri kwa sababu ya hiyo pressure na anazingatia.
Angalizo. Hakojoi Mara kwa Mara
Akiwa mikoa ya baridi kiu inatoweka. Akirudi DSM in shida. Kila siku anakunywa 4.5 LTS za Maji na bado kiu inampata. Jasho halimtoki ni kwa nadra sana. Na hivyo ngozi inakauka Fulani hivi.
Msaada Tafadhali.
Angalizo. Hakojoi Mara kwa Mara
Akiwa mikoa ya baridi kiu inatoweka. Akirudi DSM in shida. Kila siku anakunywa 4.5 LTS za Maji na bado kiu inampata. Jasho halimtoki ni kwa nadra sana. Na hivyo ngozi inakauka Fulani hivi.
Msaada Tafadhali.