de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Habari wanaJF,
Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.
Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.
Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu naomba msaada.
Niende kwenye point, nimekuwa na tatizo la kuahirisha vitu nivipangavyo. Siyo kwamba siwezi ila ukifika muda tu najikuta tu labda nafanya kitu then nasema nikimaliza nitafanya. Nitaendelea hivyo hivyo mwishoni nasema kesho. Kesho inafika narudia nilichofanya leo. Hili ni tatizo toka utotoni na huenda ningekuwa nimefanya makubwa mengi nisingekuwa na hii tabia.
Nimejaribu sana kuishinda ila utakuta nafanikisha kwa miezi kadhaa tu baada ya hapo narudi kwenye cycle hii hii. Nimeangalia videos mbalimbali YouTube kushinda procrastination ila nitazitumia kwa muda tu halafu hali inarudi kama mwanzo. Kwa mwenye tatizo kama langu jua haupo peke yako.
Mwenye uzoefu na njia thabiti ya kushinda hii kitu naomba msaada.