Tatizo la kubabuka mapajani

Tatizo la kubabuka mapajani

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Habari wanaJF

Hivi karibu nlienda Moshi safari kikazi nikakaa wiki maji niliyoogea kule ni ya magadi na haikuwa tatizo. Ila baada ya kurudi nawashwa mapajani na tezi dume ikifuatiwa na kubanduka kwa ngozi (peeling) kama inavyoonekana kwenye picha.

Sijadate na mwanamke yeyote wala kula cha mtu toka nimeenda na mpaka unavyosoma hii thread.

Nlmwenye ujuzi wa hili tatizo na dawa yake plz. Ishakuwa issue sasa

SmartSelect_20220606-074911_Gallery.jpg
 
Habari wanaJF

Hivi karibu nlienda moshi safari kikazi nkakaa wiki maji nliyoogea kule ni ya magadi na haikuwa tatizo. Ila baada ya kurudi nawashwa mapajani na tezi dume ikifuatiwa na kubanduka kwa ngozi (peeling) kama inavyoonekana kwenye picha.

Sijadate na mwanamke yeyote wala kula cha mtu toka nimeenda na mpaka unavyosoma hii thread.

Nlmwenye ujuzi wa hilk tatizo na dawa yake plz. Ishakuwa issue sasa
Hauijui tezi dume ni nini, JF si hospitali nenda hospitali kawaoneshe madakitari hiyo trzi dume yako wakucheke.
 
Pole mkuu sio kwa mbabuko huo. Fata ushauri wa wadau hapo juu
 
Back
Top Bottom