Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Na ni vizuri pia kuiga jambo zuri.Tunapaswa tupongeze kwa mema na sio kuonesha mshangao kama mtoa mada unavyoashiria kupitia post yako
Je kuna ubaya kwa RC kumobilose utoaji wa huduma za Afya???
Jambo jema lipongezwe, na liwe chachu kwa wengine kujitoa kwa ajili ya kuigusa jamii