Tatizo la kufa ganzi mguu

Tatizo la kufa ganzi mguu

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
896
Wana JF.
Mimi natatizo la kufa ganzi mguu wa kushoto nikikaa chini muda mrefu..

Kama kuna mtu anajua ni nini kinachosabisha tatizo hilo au tiba yoyote naomba anijuze
 
Maradhi ya Ganzi ni moja katika sababu zinazoweza kuhatarisha kiungo cha mwili ni mfumo wa kufanya ganzi katika kiungo kwa muda mrefu, ganzi hutokana na kuvilia au kusalilia damu katika sehemu moja kwa ufupi damu kutozunguka katika sehemu ile kwa muda mrefu. Kwa mfano ukikaa sana, au pia ukisamama sana na hii sio sababu ya kukaa na kusimama tu, mwili wa mwanaadamu haustahamili kitu kupita kiasi.

Miili ya wanaadamu imeumbwa na kiasi kila kitu kwa kiasi, kula kunywa kulala n.k kwa hivyo, ikiwa utakaa au utalala kwa muda wa kupindukia bila harakati yoyote basi damu hushindwa kuzunguka katika mwili na hushindwa kupokea hewa safi na kutoa hewa chafu, ndipo mfumo wa GANZI hutokea na ukianza kufanya harakati tu basi ngazi wenyewe huondoka.

nakushauri kwanza ukutane na Daktari haraka iwezekanavyo, na huku ukiendelea kutumia mafuta ya habati sauda (Nigella seed oil)kwa kujipaka kwenye sehemu inayo kufa ganzi.
 
Back
Top Bottom