ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,430
NIna tatizo linanisumbua la kuingiza maji ndani kupitia madirisha ya Aluminium
Mvua kidogo tuu ikinyesha maji mengi yanaingia ndani, tumejaribu kujaza silicon lakini haikusaidia, naomba mwenye kujua suluhisho la hili tatizo, au kama kunafundi unamjua naomba tuwasiliane
Mvua kidogo tuu ikinyesha maji mengi yanaingia ndani, tumejaribu kujaza silicon lakini haikusaidia, naomba mwenye kujua suluhisho la hili tatizo, au kama kunafundi unamjua naomba tuwasiliane