Hope wote mu wazima.
Mi ni mdada wa miaka 26, miezi minne nyuma kabla cjapata ujauzito nilipata tatizo kuishiwa damu nilizunguka hospital nyingi hadi regency wakasema sina tatizo, nikawa naendelea kuhangakaika huku na kule.
Mwezi wa tano nikapata mimba hadi sasa mimba ina miezi sabal, tatizo damu inapungua nimekula na kunywa kila kinachoongeza damu lakin haipandi ila inashuka.nilipima nilikuwa na damu 11 nikatumia vitu vya kuongeza damu ndo ikashuka had 10.
Naomba mnisaidie kwani nachanganyikiwa cha kufanya kwa sasa.
Mi ni mdada wa miaka 26, miezi minne nyuma kabla cjapata ujauzito nilipata tatizo kuishiwa damu nilizunguka hospital nyingi hadi regency wakasema sina tatizo, nikawa naendelea kuhangakaika huku na kule.
Mwezi wa tano nikapata mimba hadi sasa mimba ina miezi sabal, tatizo damu inapungua nimekula na kunywa kila kinachoongeza damu lakin haipandi ila inashuka.nilipima nilikuwa na damu 11 nikatumia vitu vya kuongeza damu ndo ikashuka had 10.
Naomba mnisaidie kwani nachanganyikiwa cha kufanya kwa sasa.