Tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu

Tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu

Kama unafamilia angalia namna unavyoindesha ukilinganisha na kipato chako, maana kama kipato kidogo, ukiambiwa matumizi yameisha ukicheki mfukoni hamna chochote hapo hasira hazikwepeki
 
Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,nina tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu yeyote naombeni ushauri inafikia muda hadi nafsi yangu inanisuta kiufupi hili tatizo linaniumiza sana. Kama kuna anae ijua dawa ya hili tatizo naomba msaada.
Nenda hospitali kwa daktari bingwa wa magonjwa ya akili utapata majibu sahihi.
 
Ni tatizo umekuwa nalo muda mrefu au ndiyo limeanza hivi karibuni? Inashangaza sana mwanadamu kukasirika bila sababu yeyote ile.

Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,nina tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu yeyote naombeni ushauri inafikia muda hadi nafsi yangu inanisuta kiufupi hili tatizo linaniumiza sana. Kama kuna anae ijua dawa ya hili tatizo naomba msaada.
 
Itia Jina LA Yesu ndio dawa..Pia unaonekana una msongo wa Mawazo ..punguza kuwaza ...
 
Hiki kitabı kinaweza kukusaidia sana, kimesaidia wengi mno. s-l225.jpg
 
Minikikaribia hedhi ni hasira hasira mpaka hedhi iishe nakua fiti
 
Back
Top Bottom