KERO Tatizo la kukata umeme mara kwa mara Wilaya ya Kiteto

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kama tunavyofahamu na kuelewa Umeme ni nishati iliyo na nguvu sana na inayorahisisha mambo mengi ktk jamii kama kusaga nafaka flani, kupooza kwenye friji bidhaa flani, kuchomelea, Masaluni n.k

Ila Wilaya yetu wanakata sana umeme na kusababisha mzunguko wa pesa kudorora.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…