M Mparee Halisi Senior Member Joined Jan 4, 2014 Posts 104 Reaction score 8 Sep 25, 2015 #1 Habari wana JF, Nina tatizo la kukohoa sana kila tu nikinywa maji ya baridi au kuacha kifua wazi. Nifanye nini wandugu, nashukuru sana kwa mawazo yenu chanya.
Habari wana JF, Nina tatizo la kukohoa sana kila tu nikinywa maji ya baridi au kuacha kifua wazi. Nifanye nini wandugu, nashukuru sana kwa mawazo yenu chanya.
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,603 Reaction score 3,776 Sep 25, 2015 #2 Kapime ngoma
M Mparee Halisi Senior Member Joined Jan 4, 2014 Posts 104 Reaction score 8 Sep 25, 2015 Thread starter #3 Jembe nilishacheck vpimo vya ngoma nipo Ok,nilipima kifua pia sikuonekana tatizo nikaambiwa inaweza ikawa Alergy
Jembe nilishacheck vpimo vya ngoma nipo Ok,nilipima kifua pia sikuonekana tatizo nikaambiwa inaweza ikawa Alergy
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,425 Reaction score 5,227 Sep 25, 2015 #4 kinga ni rahisi sana coz umejua tatizo linaanzia wapi,usinywe maji ya baridi wala usiache kifua wazi
C clinton asukile Member Joined Jul 25, 2014 Posts 7 Reaction score 4 Sep 25, 2015 #5 Kinga yako ni kuzuia Ivo vitendo kutokunywamaji ya barid na kutoka kifua wazi Inawezekana una allergies kama walivyosema wataalam
Kinga yako ni kuzuia Ivo vitendo kutokunywamaji ya barid na kutoka kifua wazi Inawezekana una allergies kama walivyosema wataalam
TEK Senior Member Joined Jul 13, 2015 Posts 184 Reaction score 35 Sep 25, 2015 #6 Ninachokiona sell zako haziko sawa karibu kwetu sisi tutakupa huduma ya kukufanya sell zikae sawa