Mparee Halisi
Senior Member
- Jan 4, 2014
- 104
- 8
Habari wana JF,
Nina tatizo la kukohoa sana kila tu nikinywa maji ya baridi au kuacha kifua wazi.
Nifanye nini wandugu, nashukuru sana kwa mawazo yenu chanya.
Nina tatizo la kukohoa sana kila tu nikinywa maji ya baridi au kuacha kifua wazi.
Nifanye nini wandugu, nashukuru sana kwa mawazo yenu chanya.