masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 217
Hbr zenu wanajr
mimi ninasumbuliwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara yaani kwa mchana moja na weza kwenda haja ndogo zaidi ya mara 8-10 kwa usiku nakwenda mara 3-5 kwa usiku mmoja.
UNYWAJI WA MAJI
nimekuwa nakunywa maji kupita kawaida yaani ni zaidi ya lt 3 kwa mchana kwa usiku lt 2.5 kwa usiku mmoja.
KIASI CHA MKOJO
Kila niendapo haja ndogo nakojoa mkojo mwingi sana unakuwa mweupe kama maji ya chupa na hauna harufu ya mkojo.
HOSPITAL
Kuna kipindi niliwah kwenda hospital nikamwelezea doctor akaniambia nipime sukari nikapima ikakutwa ni normal.
UZITO
nina uzito wa kg 85 urefu wa sm 170
SASA WANAJAMVI SIELEWI NINI SHIDA NAOMBA MSAADA
mimi ninasumbuliwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara yaani kwa mchana moja na weza kwenda haja ndogo zaidi ya mara 8-10 kwa usiku nakwenda mara 3-5 kwa usiku mmoja.
UNYWAJI WA MAJI
nimekuwa nakunywa maji kupita kawaida yaani ni zaidi ya lt 3 kwa mchana kwa usiku lt 2.5 kwa usiku mmoja.
KIASI CHA MKOJO
Kila niendapo haja ndogo nakojoa mkojo mwingi sana unakuwa mweupe kama maji ya chupa na hauna harufu ya mkojo.
HOSPITAL
Kuna kipindi niliwah kwenda hospital nikamwelezea doctor akaniambia nipime sukari nikapima ikakutwa ni normal.
UZITO
nina uzito wa kg 85 urefu wa sm 170
SASA WANAJAMVI SIELEWI NINI SHIDA NAOMBA MSAADA