T taupe Member Joined Apr 9, 2011 Posts 5 Reaction score 0 May 2, 2011 #1 ninikusababisha mume kukojowa haraka? Nanini afanye ili asikojowe haraka
myhem JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 933 Reaction score 361 May 3, 2011 #2 Watu wa namna hiyo tunawaita vikojozi.Tatizo hilo huwa lipo kwa baadhi ya watu na ni la kuzaliwa nalo.Kuna wanaume wengine wana tatizo la kuchelewa kupata bao.Google utapata ufumbuzi wa tatizo lake ingawa inahitaji uvumilivu kidogo mpaka liishe.
Watu wa namna hiyo tunawaita vikojozi.Tatizo hilo huwa lipo kwa baadhi ya watu na ni la kuzaliwa nalo.Kuna wanaume wengine wana tatizo la kuchelewa kupata bao.Google utapata ufumbuzi wa tatizo lake ingawa inahitaji uvumilivu kidogo mpaka liishe.
vena JF-Expert Member Joined Apr 14, 2011 Posts 311 Reaction score 39 May 3, 2011 #3 a pige zoezi la kuotosha....practice makes perfect!