Tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa

Mkuu nimekuja inbox kwako sikupati, naomba tuonane
 
Tatizo hili lipo hata kwangu ila mm huwa najitahidi tu pale mechi inapoanza kabla ya goli langu najibana mapka wife afikie kilele Kisha mm namalizia kiulainiiiii, mm goli Moja tu nmekwisha hauwa najivuna kwa KUWA mwanza kashafika safari yake, hata uume ukilala spati shinda, Moja wakati WA kulala na Moja asbh kiroho safi tunaenjoy life kwa namna ile.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…