kuwa period ina makasheshe yake kwa mwanamke..ila ukiikosa dah unaimissije? hata mimi nimepitiliza sijui kwanini..ila nimechange mazingira jumlisha stress dah .natamani niivute
kuwa period ina makasheshe yake kwa mwanamke..ila ukiikosa dah unaimissije? hata mimi nimepitiliza sijui kwanini..ila nimechange mazingira jumlisha stress dah .natamani niivute
Habari wakuu, nina ndugu yangu anahili tatizo la kutoona siku zake,,, amehangaika baadhi ya hospital lakin bado tiba muafaka hajapata.Kwa yeyote mwenye kujua tiba ya tatizo hili tafadhari naomaba ushauri naomba ili ufike mahari husika.kwa mujibu wake, anaweza asipate siku zake hata miezi mitatu, then akapata mara moja ambayo too small. Maumivu ya mgongo, kiuno na miguu kuwaka moto ni sehemu ya maisha yake.Akhsante na shukrani kwa mawazo yenu natanguliza.
mmmh huyu si ndo anatibu kwa computer!Kama upo Dar es salaam nenda pale ilala bungoni kwa dr Mwaka ataweza kukusaidieni
nenda tu kwa dokta wa wanawakeSmile acha hayoooo mambo! hatari unaonaje kwenda haja kubwaaaa hata aibu mbele za watu! assume umeikosa per week! unamisiji kwenda toilet sometime full kujikamua lakini wapi!!!!
Tusaidiane jamani....,,!!!! kitaalum, kimawazo,, kishauri...!
Thanks all.
Kama upo Dar es salaam nenda pale ilala bungoni kwa dr Mwaka ataweza kukusaidieni
Kama upo Dar es salaam nenda pale ilala bungoni kwa dr Mwaka ataweza kukusaidieni
mm nilikuwa mmoja wa watu wenye tatizo hilo na sasa niko fit kabisa baada ya kupata tiba mbadala. kwanza anatakiwa kujua sababu hasa ni nini mpaka anakosa cku zake? inaweza kuwa ni unene, maybe aliwahi kuzaa baada ya hapo ikapotea toka alivyojifungua, pia hili si tatizo dogo kiukweli ni tatizo kubwa sana amablo linaweza kusababisha kukosa watoto, pia yawezekana mirija imeziba etc, kwa ushauri zaidi ni pm nikuelekeze mpaka hospital niliyoenda etc
Aksante king'asti,,,, alishapita huko,,, naomba pia kama mna details za wataalamu (madaktari bingwa wa magonjwa haya maradhi) ili aende dirctly badala ya kuanza kuuliza c unajua hapa mjini ukiwa na tatizo hospital utaambiwa tunatibu.
Unapewa dawa kesho unarudi tena,, unapewa zingine!
mm nilikuwa mmoja wa watu wenye tatizo hilo na sasa niko fit kabisa baada ya kupata tiba mbadala. kwanza anatakiwa kujua sababu hasa ni nini mpaka anakosa cku zake? inaweza kuwa ni unene, maybe aliwahi kuzaa baada ya hapo ikapotea toka alivyojifungua, pia hili si tatizo dogo kiukweli ni tatizo kubwa sana amablo linaweza kusababisha kukosa watoto, pia yawezekana mirija imeziba etc, kwa ushauri zaidi ni pm nikuelekeze mpaka hospital niliyoenda etc
Full blood picture (fbp) haitakuonyesha matatizo ya uzazi per ce. Lakini itaonyesha kama una chronic infection. Kwa nini unataka kufanya sperm test (i bet ni sperm count?) bila kushauriwa na dr?. Ushauri wangu ni uonane na urologist, umueleze wasiwasi wako na atakushauri cha kufanya. Naweza kukupa number ya mmoja mzuri labda atakusaidia but yupo aghakhan dsm.
Kuhusu mkeo, pengine gynaecologist atawaelekeza kitakachosaidia. Usisahau uwezo wa madaktari una limit yake lakini yupo aliewaumba. Kumbuka na sala pia.
Smile acha hayoooo mambo! hatari unaonaje kwenda haja kubwaaaa hata aibu mbele za watu! assume umeikosa per week! unamisiji kwenda toilet sometime full kujikamua lakini wapi!!!!
Tusaidiane jamani....,,!!!! kitaalum, kimawazo,, kishauri...!
Thanks all.
kuwa period ina makasheshe yake kwa mwanamke..ila ukiikosa dah unaimissije? hata mimi nimepitiliza sijui kwanini..ila nimechange mazingira jumlisha stress dah .natamani niivute
mm nilikuwa mmoja wa watu wenye tatizo hilo na sasa niko fit kabisa baada ya kupata tiba mbadala. kwanza anatakiwa kujua sababu hasa ni nini mpaka anakosa cku zake? inaweza kuwa ni unene, maybe aliwahi kuzaa baada ya hapo ikapotea toka alivyojifungua, pia hili si tatizo dogo kiukweli ni tatizo kubwa sana amablo linaweza kusababisha kukosa watoto, pia yawezekana mirija imeziba etc, kwa ushauri zaidi ni pm nikuelekeze mpaka hospital niliyoenda etc
Full blood picture (fbp) haitakuonyesha matatizo ya uzazi per ce. Lakini itaonyesha kama una chronic infection. Kwa nini unataka kufanya sperm test (i bet ni sperm count?) bila kushauriwa na dr?. Ushauri wangu ni uonane na urologist, umueleze wasiwasi wako na atakushauri cha kufanya. Naweza kukupa number ya mmoja mzuri labda atakusaidia but yupo aghakhan dsm.
Kuhusu mkeo, pengine gynaecologist atawaelekeza kitakachosaidia. Usisahau uwezo wa madaktari una limit yake lakini yupo aliewaumba. Kumbuka na sala pia.