Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

msweet nieleweshe vzr nifanyeje sasa.mm imani yangu ni mkristo.
thanks mzizimkavu
 
mi nakushaur uende hospital kwa specialist wa wanawake coz na mm nilikuwa hivyo napitisha mpaka miez minne ila saiv nipo sawa cjawah kutumia dawa za uzaz wala cndano ila alinambia kuna homon ilizid nilipima kipimo cha fbp(full blood picture) so nenda hospital kawaelezee
 
Geovanna pole sana kwa tatizo lako. naomba unipm nadhani naweza kukusaidia kwa tatizo hilo
 
Habarini za leo,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Mke wangu sasa ana miezi tisa amejifungua mtoto alipofikisha miezi mitano baada ya kujifungua tulipanga aweke njiti kama njia za kuzuia mimba nyingine kabla ya mda. Mpaka sasa hajawahi kupata hedhi tumejaribu kuongea na watalaamu wamesema ni maudhi madogo madogo.

Leo nimeona nijaribu kuuliza hapa JF kama kuna mtu ambaye anaweza kunipa mawazo juu ya tatizo ili la my wife.

Karibu..
 
Watu wanaojua watujuze na mke wangu hajapata hedhi tangu ajifungue mwezi wa tano sasa.
 
Kijiti ndo kimesababisha asipate hedhi,ajiandae kunenepeana na kitambi juu
 
Naombeni msaada wenu ndugu zanguni.

Mke wangu ni mwezi wa pili sasa haoni siku zake ( hedhi ).

Amepima mimba ndani ya miezi hiyo miwili mara tatu lakini hakuna kitu. Mwenye kujua juu ya hili nawakaribisha kwa ushauri zaidi ndugu zanguni.
 
Kama anatumia njia za uzazi wa mpango huendo ndo sababu hapati hedhi maana smtms njia za uzazi wa mpango husababisha mwanamke asipate hedhi.pili huenda pia ni mimba japo unasema amepima hana ila smtnms mimba inaweza isionekane,
 
Kama anatumia njia za uzazi wa mpango huendo ndo sababu hapati hedhi maana smtms njia za uzazi wa mpango husababisha mwanamke asipate hedhi.pili huenda pia ni mimba japo unasema amepima hana ila smtnms mimba inaweza isionekane,

uzazi wa mpango hatumii na suala la mimba jana ndio kapima safari ya tatu lakini hakuna kitu mkuu
 
Naombeni msaada wenu ndugu zanguni.

Mke wangu ni mwezi wa pili sasa haoni siku zake ( hedhi ).

Amepima mimba ndani ya miezi hiyo miwili mara tatu lakini hakuna kitu. Mwenye kujua juu ya hili nawakaribisha kwa ushauri zaidi ndugu zanguni.

aende akamuone gyno...
 
Anaweza akawa ana shida ya hormonal imbalance so akimbie hospitali mara moja na assijimezee tu dawa adi atakapopewa na daktari kwa kuhakikusha kuwa hana ujauzito.........................
 
Nakushauri uwahi hospitali ukaonane na daktari.


Tatizo linahitaji vipimo kwanza....
 
Vitu km hivi nadhani vipo wazi muende hosp tu,ndio suluhisho! Nawahamasisha na watu wengine jamani km umejiona una tatizo lolote mwilini kamuone daktari hasa wa hosp za serikali
 
Nashukuruni sana kwa michango yenu ndugu zanguni.
 
Naombeni msaada wenu ndugu zanguni.

Mke wangu ni mwezi wa pili sasa haoni siku zake ( hedhi ).

Amepima mimba ndani ya miezi hiyo miwili mara tatu lakini hakuna kitu. Mwenye kujua juu ya hili nawakaribisha kwa ushauri zaidi ndugu zanguni.


Nami nina tatizo kama lako, tumepima mara mbili ila hakuna kitu
 
Back
Top Bottom