Tatizo la kuku kukoroma

Tatizo la kuku kukoroma

Entreprenuare

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2019
Posts
1,616
Reaction score
1,727
Wafugaji mambo vipi?

Kuku wangu wanakoroma/ kukoa sana, sijajua chanzo chake ni nini?

Je, nitumie gani ya dukani au kienyeji?
 
Wana mafua funua midomo yao angalia Wana ute mzito mdomoni au
 
Sababu yake kubwa ni uchafu au vumbi katika banda
 
Wafugaji mambo vipi?

Kuku wangu wanakoroma/ kukoa sana, sijajua chanzo chake ni nini?

Je, nitumie gani ya dukani au kienyeji?
Mkuu mtafute Daktari wa mifugo wewe sio specialist maana utaambiwa uwape dawa utawapa wasipopona utatafuta dawa nyingine mwisho wa siku utatumia gharama nyingi ambazo ungekuita dktr wa mifugo angetatua.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mrejesho

Nilienda kwa daktar wa mifugo, amenipa dawa ina itwa fluban,

Nimewata, atleast naona wana hali nzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mrejesho

Nilienda kwa daktar wa mifugo, amenipa dawa ina itwa fluban,

Nimewata, atleast naona wana hali nzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Usipopata matokeo ama wakati ujao achana na hiyo fluban (labda kama itakupa matokeo mazuri). Mafua ya siku hizi ni sugu (mafua makali) hivyo uonapo dalili tumia dawa hii:

Changanya OTC 50% na Tylodox (Tyloxin) ya England.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom