Tatizo la kupata Hedhi

Tatizo la kupata Hedhi

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,273
Naomba msaada maana mie nimeshindwa.

Msichana wangu wa kazi ameanza kupata siku zake toka mwaka 2008 na alikuwa hana shida yoyote mpaka juzi mwezi wa kwanza ameanza kuumwa sana na tumbo last month ndo kazidiwa kabisa hata kazi hakuwa akifanya sasa jana kaanza tena yuko hoi tumbo linauma mno ila blood inatoka kama kawaida tu si nyingi si kidogo.

Wataalamu hebu nisaidieni shida ni nini??
 
Naomba msaada maana mie nimeshindwa.

Msichana wangu wa kazi ameanza kupata siku zake toka mwaka 2008 na alikuwa hana shida yoyote mpaka juzi mwezi wa kwanza ameanza kuumwa sana na tumbo last month ndo kazidiwa kabisa hata kazi hakuwa akifanya sasa jana kaanza tena yuko hoi tumbo linauma mno ila blood inatoka kama kawaida tu si nyingi si kidogo.

Wataalamu hebu nisaidieni shida ni nini??

hata ukisema unasumbuliwa wewe mwenyewe hakuna tatizo mwone Dr. au wahi Loliondo tu
 
Nadhani ni kawaida...imewahi kunitokea!Anywe maji kwa wingi ya uvugu vugu kama anaweza na kukanda ile sehemu ya chini ya tumbo kwa chupa au kitambaa chenye maji ya moto inasaidia!Dawa za maumivu kama panadol na asprini...na wakati anakaribia kuanza siku zake apunguze vitu vyenye sukari kama soda and the likes!Pia awe anakunywa maji yaliyochemsha na tangawizi mara kwa mara!
 
hata ukisema unasumbuliwa wewe mwenyewe hakuna tatizo mwone Dr. au wahi Loliondo tu

We we Fidel yaani umenikosea heshima kabisa yaani mimi nianze kupata hedhi 2008 kweli umenichoka haaa.

Mie hedhi yenyewe ishakoma siipati tena unichanganye na watoto?? KWA KWELI LEO UMENIKWAZA SANA.
 
Nadhani ni kawaida...imewahi kunitokea!Anywe maji kwa wingi ya uvugu vugu kama anaweza na kukanda ile sehemu ya chini ya tumbo kwa chupa au kitambaa chenye maji ya moto inasaidia!Dawa za maumivu kama panadol na asprini...na wakati anakaribia kuanza siku zake apunguze vitu vyenye sukari kama soda and the likes!Pia awe anakunywa maji yaliyochemsha na tangawizi mara kwa mara!

Ubarikiwe ila za maumivu nampatia tena zile za kina mama wanita buscopan (sijui spelling zake vizuri) zinampatia nafuu kidogo tu muda tena maumivu mda wa siku tano si mchezo.

Asante kwa ushauri Lizzy
 
Naomba msaada maana mie nimeshindwa.

Msichana wangu wa kazi ameanza kupata siku zake toka mwaka 2008 na alikuwa hana shida yoyote mpaka juzi mwezi wa kwanza ameanza kuumwa sana na tumbo last month ndo kazidiwa kabisa hata kazi hakuwa akifanya sasa jana kaanza tena yuko hoi tumbo linauma mno ila blood inatoka kama kawaida tu si nyingi si kidogo.

Wataalamu hebu nisaidieni shida ni nini??

LInaweza likawa tatizo la kawaida ambalo linaweza kwisha lenyewe baada ya muda. Lakini inawezekana pia wakati alipokuwa akipata siku zake, kulikuwa na kiasi kidogo cha damu (uchafu) kilikuwa kinabaki na hivyo kutengeneza donge kidogo kidogo ambalo baada ya muda linakuwa kubwa na kuanza kuleta matatizo kama hayo. Ni vema ukawaona wataalamu wamchunguze ili kupata uhakika
 
We we Fidel yaani umenikosea heshima kabisa yaani mimi nianze kupata hedhi 2008 kweli umenichoka haaa.

Mie hedhi yenyewe ishakoma siipati tena unichanganye na watoto?? KWA KWELI LEO UMENIKWAZA SANA.

Tatizo la ss weusi kuficha ficha mambo

Weka wazi tu mwenzenu nasumbiliwa na tatizo hili nifanyaje

Hapo ndipo tunakaa tunapiga Tusker zetu huku tukikusaidia kwa ushauri hata kukuitia Dr. papo hapo.
 
Hilo tatizo linawapata watu wengi wenye umri wake ingawa severity inatofautiana, kitaalamu wanaita dysmenorrhoea, kwa umri wake na jinsi inavyotokea itakuwa spasmodic dysmenorrhoea, wengine maumivu yanakuwa makali mpaka anashindwa kufanya kazi. Sababu za hayo maumivu ni nyingi lakini nyingi ya hizo husababisha mwili kuzalisha vichocheo vinavyoitwa prostaglandins kwa wingi kuliko kawaida kwa watu wenye dysmenorrhoea, hizo prostaglandins husababisha spasmodic myometrial contractions (misuli ya uterus inakakamaa - inacontract - sijui kama ni tafsiri sahihi) ambayo ndio husababisha maumivu, yaani mtu anakuwa na maumivu kama ya uchungu wa kuzaa vile.

Matibabu yake ni kumpa dawa ambazo zinapunguza uzalishwaji wa hizo prostaglandins, hizo dawa zinajulikana kama non-steroidal antiinflamatory drugs (NSAIDS) zikijumuisha asprin, ibuprofen, mefenamic acid, indomethacin nk. Ibuprofen na mefenamic acid ni nzuri zaidi, ukimchanganyia na paracetamol, ataendelea na kazi zake kama kawaida. Hizi dawa atumie tu kwa muda akiwa kwenye hedhi akimaliza anaacha anasubiri mzunguko mwingine kama atapata maumivu tena. (Akitumia hizi dawa asipopata nafuu niPM nitakurudishia gharama zako, ingawa wewe hunilipi kwa ushauri wangu huu ninaokupa, ninajua zitamsaidia)

Maumivu yakiendelea anaweza akatumia combined oral contraceptive pills, natumaini hana mpango wa kuzaa kwa sasa, hizi nazo zimethibitishwa kufanya kazi vizuri, hupunguza maumivu ya hedhi, hupunguza kiasi cha damu kinachotoka na vile vile hupunguza duration ya menses.

Wengine pia wanaadvocate kutanua njia ya kizazi (cervical dilatation), hii inasaidia kwa wale ambao shida ni cervical stenosis (njia ya shingo ya kizazi kuwa nyembamba sana kwa hiyo hedhi inabidi itoke kwa kulazimishwa na huleta maumivu, lakini huyu wa kwako kwa sababu hedhi inatoka ya kutosha nadhani hana stenosis.

Wengi shida hii inakwisha wanapozaa, wengine huendelea nayo lakini severity ya maumivu hupungua.

Kuna watu wazima wengine pia huwa wanapata maumivu wakati wa hedhi, lakini hii ni aina nyinge ya dysmenorrhea, hii chanzo huwa ni tatizo kwenye kizazi, yaweza kuwa uvimbe, endometriosis (sijui kiswahili chake lakini hapa mtu anakuwa na vinyama vya ndani ya kizazi vimeota sehemu nyingine ya mwili kwa hiyo wakati wa hedhi vinamletea maumivu ya ajabu), au shida nyingine yoyote na dawa yake ni kutibu hicho chanzo.
 
Kama ni binti wa kazi huenda ni janja ya kujipa likizo! Mara nyingi maumivu hupungua with time, sio kuomgezeka!
 
Tatizo la ss weusi kuficha ficha mambo <br />
<br />
Weka wazi tu mwenzenu nasumbiliwa na tatizo hili nifanyaje
Hapo ndipo tunakaa tunapiga Tusker zetu huku tukikusaidia kwa ushauri hata kukuitia Dr. papo hapo.

Tatizo la kuanza pombe mapema huku unataka uwe na huku JF. Kila la heri
 
Hilo tatizo linawapata watu wengi wenye umri wake ingawa severity inatofautiana, kitaalamu wanaita dysmenorrhoea, kwa umri wake na jinsi inavyotokea itakuwa spasmodic dysmenorrhoea, wengine maumivu yanakuwa makali mpaka anashindwa kufanya kazi. Sababu za hayo maumivu ni nyingi lakini nyingi ya hizo husababisha mwili kuzalisha vichocheo vinavyoitwa prostaglandins kwa wingi kuliko kawaida kwa watu wenye dysmenorrhoea, hizo prostaglandins husababishaspasmodic myometrial contractions (misuli ya uterus inakakamaa - inacontract - sijui kama ni tafsiri sahihi) ambayo ndio husababisha maumivu, yaani mtu anakuwa na maumivu kama ya uchungu wa kuzaa vile.<br />
<br />
Matibabu yake ni kumpa dawa ambazo zinapunguza uzalishwaji wa hizo prostaglandins, hizo dawa zinajulikana kama non-steroidal antiinflamatory drugs (NSAIDS) zikijumuisha asprin, ibuprofen, mefenamic acid, indomethacin nk. Ibuprofen na mefenamic acid ni nzuri zaidi, ukimchanganyia na paracetamol, ataendelea na kazi zake kama kawaida. Hizi dawa atumie tu kwa muda akiwa kwenye hedhi akimaliza anaacha anasubiri mzunguko mwingine kama atapata maumivu tena. (Akitumia hizi dawa asipopata nafuu niPM nitakurudishia gharama zako, ingawa wewe hunilipi kwa ushauri wangu huu ninaokupa, ninajua zitamsaidia)<br />
<br />
Maumivu yakiendelea anaweza akatumia combined oral contraceptive pills, natumaini hana mpango wa kuzaa kwa sasa, hizi nazo zimethibitishwa kufanya kazi vizuri, hupunguza maumivu ya hedhi, hupunguza kiasi cha damu kinachotoka na vile vile hupunguza duration ya menses. <br />
<br />
Wengine pia wanaadvocate kutanua njia ya kizazi (cervical dilatation), hii inasaidia kwa wale ambao shida ni cervical stenosis (njia ya shingo ya kizazi kuwa nyembamba sana kwa hiyo hedhi inabidi itoke kwa kulazimishwa na huleta maumivu, lakini huyu wa kwako kwa sababu hedhi inatoka ya kutosha nadhani hana stenosis.<br />
<br />
Wengi shida hii inakwisha wanapozaa, wengine huendeleanayo lakini severity ya maumivu hupungua.<br />
<br />
Kuna watu wazima wengine pia huwa wanapata maumivu wakati wa hedhi, lakini hii ni aina nyinge ya dysmenorrhea, hii chanzo huwa ni tatizo kwenye kizazi, yaweza kuwa uvimbe, endometriosis (sijui kiswahili chake lakini hapa mtu anakuwa na vinyama vya ndani ya kizazi vimeota sehemu nyingine ya mwili kwa hiyo wakati wa hedhi vinamletea maumivu ya ajabu), au shida nyingine yoyote na dawa yake ni kutibu hicho chanzo.

Nashukuru tatizo likiendelea nita ku PM kama ulivyonishauri. Asante sana
 
inawezekana pia kaHG ketu kanahitaji mwenza . labda ukaanzishie sredi ya kutafuta kule MMU. (NB: nina master ya saikolojia)
 
MPE POLE HUYO DADA WA NYUMBANI ,,naamini mkifuata ushauri wa DR KAPOTOLO tatizo linaweza kwisha ila ukiona hapati nafuu ni vizuri pia ukimpeleka hosp akafanyiwe check kabisa,,,,,
 
Jamani mpe pole sana na uhakika utapa tu ushauri humu ndani!!
Naomba msaada maana mie nimeshindwa.

Msichana wangu wa kazi ameanza kupata siku zake toka mwaka 2008 na alikuwa hana shida yoyote mpaka juzi mwezi wa kwanza ameanza kuumwa sana na tumbo last month ndo kazidiwa kabisa hata kazi hakuwa akifanya sasa jana kaanza tena yuko hoi tumbo linauma mno ila blood inatoka kama kawaida tu si nyingi si kidogo.

Wataalamu hebu nisaidieni shida ni nini??
 
MPE POLE HUYO DADA WA NYUMBANI ,,naamini mkifuata ushauri wa DR KAPOTOLO tatizo linaweza kwisha ila ukiona hapati nafuu ni vizuri pia ukimpeleka hosp akafanyiwe check kabisa,,,,,

Kapotolo kweli kanisaidia sana namshukuru
 
Back
Top Bottom