Kaulizie kuna jamaa lilikuwa bouncer lina vi hiace kigogo drive-in vingine mwananyamala moroco!!alikuwa anaitwa eddie jitu la miraba 4 nyakusa liloshiba,brother men,tozzi lakufa mtu,zungu launga la miaka hiyo!!!sasa fikiria sifa alizokuwa nazo alipewa kfro changuvu na mijbaba na mjeda ana revover jamaa kaacha magari akaenda unyakyusani kaukimbia mji na mauti ikamkuta huko kwakuwa maisha ya kijijini hakuzoea na msongo vyote vikachanganyikana akafa sasa wewe hauna hata jina mjini utafr mpaka uamue kuolewa maana utaona yanini sasa bora ujiunge na mseng kwnye taarabu!!!kila raheri!!