mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 396
Salaam wanajamii,
Nimekuwa na tatizo almost ni mwezi sasa kila ninapolala nahisi kupoteza fahamu.Hali hii hutokea kama ndoto lakini na uhalisia na baada ya muda fahamu hunirejea. Je, linaweza kuwa tatizo gani?
Nimekuwa na tatizo almost ni mwezi sasa kila ninapolala nahisi kupoteza fahamu.Hali hii hutokea kama ndoto lakini na uhalisia na baada ya muda fahamu hunirejea. Je, linaweza kuwa tatizo gani?