mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 245
- 194
Habari Za mapumziko ya wikendi.
Tangu niingie humu ni mengi Nimejifunza na hata kupitia maswali mengi ya watu tofauti kuhusu maisha.
Namimi leo ninaomba kufahamamishwa juu ya tatzo hili la kutapika hasa kwa mwanamke mjamzito kila mara hutokana na nini? Je, kuna tiba mbadala? Maana wife anapata shida ya kutapika akila chochote anatapika yaani ni shida.
Naamini wazoefu na madaktari wa haya mambo mtanisaidia kwa mawazo ya kitaalamu.
Ahsanteni na usiku mwema
Tangu niingie humu ni mengi Nimejifunza na hata kupitia maswali mengi ya watu tofauti kuhusu maisha.
Namimi leo ninaomba kufahamamishwa juu ya tatzo hili la kutapika hasa kwa mwanamke mjamzito kila mara hutokana na nini? Je, kuna tiba mbadala? Maana wife anapata shida ya kutapika akila chochote anatapika yaani ni shida.
Naamini wazoefu na madaktari wa haya mambo mtanisaidia kwa mawazo ya kitaalamu.
Ahsanteni na usiku mwema