proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Hello wadau wa JF nawasalimu
Wadau Nina ndugu yangu na ni rafiki wa karibu kabisa yeye anaumri wa takribani miaka 37 hivi ,anashida ya kuto kusimamisha vizuri yani machine ikisimama tu mpaka kumaliza kuvaa kondom inakuwa imepunguza kasi ya usimamaji mpaka iboostiwe tena ndio isimame lakini sio kwa kiasi cha kuwa ngangali sana ,kwa maelelezo yake anadai alishawahi kupiga punyeto kipindi cha nyuma ingawa sasa kaacha kabisa na kunasiku moja nilishamfuma anakiwasha kipindi hicho kwenye shule za bweni .Alishawahi kwenda hospital kubwa kabisa alifanyiwa vipimo vingi ikiwepo Full blood picture ,Kisukari ,Pressure nk lakini Dr alimueleza hakuna tatizo lolote ,so mchango wenu wandugu tunaweza kumuokoa rafiki ingawa sasa hivi kaoa na anawatoto wawili .
Wadau Nina ndugu yangu na ni rafiki wa karibu kabisa yeye anaumri wa takribani miaka 37 hivi ,anashida ya kuto kusimamisha vizuri yani machine ikisimama tu mpaka kumaliza kuvaa kondom inakuwa imepunguza kasi ya usimamaji mpaka iboostiwe tena ndio isimame lakini sio kwa kiasi cha kuwa ngangali sana ,kwa maelelezo yake anadai alishawahi kupiga punyeto kipindi cha nyuma ingawa sasa kaacha kabisa na kunasiku moja nilishamfuma anakiwasha kipindi hicho kwenye shule za bweni .Alishawahi kwenda hospital kubwa kabisa alifanyiwa vipimo vingi ikiwepo Full blood picture ,Kisukari ,Pressure nk lakini Dr alimueleza hakuna tatizo lolote ,so mchango wenu wandugu tunaweza kumuokoa rafiki ingawa sasa hivi kaoa na anawatoto wawili .