TATIZO LA KUTOA MANIII YENYE MBEGU CHACHE (OLIGOSPERMIA) FAHAMU SABABU DALILI NA MATIBABU
Ni ile hali ya manii ambayo mwanaume kuyatoa baada ya kufika kileleni kubeba mbegu chache ambazo ziko chini ya million 15 ktk kila milimiter/ cc ya manii.
Uzalishaji wa mbegu za kiume ni mchakato unaohitaji korodani ambazo zina afya nzuri na zina fanya kazi vizuri, pamoja na hypothalamus ambayo ni sehemu ya ubongo na pituitary grand ni tezi ambayo ipo ktk ubongo inayozalisha hormone (vichocheo) ambavyo vinasaidia uzalishaji wa mbegu za kiume.
Ni ile hali ya manii ambayo mwanaume kuyatoa baada ya kufika kileleni kubeba mbegu chache ambazo ziko chini ya million 15 ktk kila milimiter/ cc ya manii.
Uzalishaji wa mbegu za kiume ni mchakato unaohitaji korodani ambazo zina afya nzuri na zina fanya kazi vizuri, pamoja na hypothalamus ambayo ni sehemu ya ubongo na pituitary grand ni tezi ambayo ipo ktk ubongo inayozalisha hormone (vichocheo) ambavyo vinasaidia uzalishaji wa mbegu za kiume.