Ni kweli kabisa, ukiwa na tatizo la kiafya ukaelezea kwa kirefu jinsi ulivyoshughulika nalo na umekwama vipi ni rahisi mtu mwingine anayefahamu kukuelekeza njia mbadala.NYACHA...pole kwa hayo ya mdogo wako!binafsi maswali ya afya huwa ni sensitive sana...unapokuwa unaomba msaada inabidi pia uwaeleze wachangiaji ni juhudi zipi na dawa ipi mshatumia ili hata wakishauri kuhusu dawa iwe haswa na ile ambayo hamjajaribu...lkn pia hosp ni muhimu kwenda,huku kuna wataalamu ndiyo ila wengi ni washereheshaji tu kama nilivyo mimi!!