Klaas
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 216
- 175
Hodi wanajf, kama kichwa cha taarifa kinavyojieleza. Napenda kujua nini huwa tatizo kwa baadhi ya watu kushindwa kula nyama kama ya mbuzi na ng'ombe, na endapo watakula basi hupata matatizo mbalimbali kama ya kutokwa na vipele, majibu nk. Nini huwa tiba ya hili tatizo hili.