Tatizo la kutokuona mbali (Myopia)

Jitahidi kula mboga za majani kwa wingi, kula matunda mengi pia punguza kula nyama, maharage, dagaa etc. Replace kwa kula vyakula vyenye ukijani kijani kwa wingi

Epuka kuvaa sana miwani mda wote, vaa pale inapokubidi tu. Epuka kutazama TV mda mwingi tena hasa hasa ukiwa Karibu nayo sana

Epuka pia kusoma kwenye mwanga hafifu ambayo utafanya misuli yako ya macho kutumia nguvu nyingi kuona kitu ambacho kitasababisha misuli kuchoka baadae

Ukizingatia hivi utapunguza tatizo kwa kiasi kikubwa au kulimaliza kabisa.

All the best!
 

Mzee ukiwa fiti urudi kwenye soka tuna shida ya makipa sana ona huku yanga hili likipa letu kuuubwa halina matatizo ya macho lkn kina kichuya wanatupia tu kiulaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…