New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
Wataalam msaada katika hili nina mpenz wangu anatatizo hili la kushindwa kula nimemuhoji anasema njaa anapata ila akila anakula kidogo sana baada ya hapo hawez kula anameza kwa shida had anahis kama atatapika hv ninin litakuwa tatizo maralia hana typhoid hana..